Baby wangu anapost picha za Wanaume kwenye DP yake

Baby wangu anapost picha za Wanaume kwenye DP yake

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.

Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana

Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu

VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
 
Shida ya kuoa malaya wasio na elimu wala ufahamu.

Mimi sio kungwi wa ndoa lakini naamini mtu ukishaolewa lazima ukubali kumilikiwa na mwenzio na uepuke kuleta makwazo yasiyo na msingi hasa makwazo ya kimalaya.

Hapo anakutumia ujumbe na kukupasha kuwa wewe si ROROTE. Anakubinya kisaikolojia.

Ningekuwa mimi namkata makofi matatu ya kimkakati PAAAAAAH kofi la kulia, PAAAAAHH, Kofi la kushoto, PAAAAAH kofi la nyongeza la MWANA UKOME, halafu namfukuza CHAAP.

Yanini kuishi na limalaya au limtu linalokuchukulia poa?

F. U. K. U. Z. A.

Cc Lamomy Extrovert mshamba_hachekwi cocastic Poor Brain adriz
 
Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume

Mkp SAS HV naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpig chini tu ila SAS tuko hatua za mwsho kuoana

Nikimuuza nani k huyu aatsema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kak alikuwa ananisaidia sana hesabu

VIP nitulie tu au Ni chukue hatua Kali
Ndio wanaume wenzio hao ww zubaantu hahaha jokes
Mawili anajaribu kukutiq wivu or kukutumiq ujumbe
 
Back
Top Bottom