BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
malaya anaboa banaa wizooo πππWee wizoo hebu acha kuharibu ndoa ya watu. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malaya anaboa banaa wizooo πππWee wizoo hebu acha kuharibu ndoa ya watu. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiimalaya anaboa banaa wizooo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kishaanza kuuza juice?? Huo muda wa kupost anapata wapi? Muongeze mtaji apike na vitumbua......
Astakafillah ππππππππππππ ukishanipiga kofi la matrako nanogewa siondoki hadi uninyandue
Watu washaanza kula kitumbua kabla hajaanza kuvipikaKishaanza kuuza juice?? Huo muda wa kupost anapata wapi? Muongeze mtaji apike na vitumbua......
Mpokonye simu ama laah na wewe post wanawake akiuliza mwambie huyu alikuwa ananisaidia kufua wakati niko chuo mwingine tena akiuliza mwambie huyu alikuwa ananisaidia chabo kuandika kwa mapaja, asipo acha njoo unipige nimekaa hapa mloganziraHiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.
Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana
Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu
VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
Si wee umtulize, unashangaa shangaa nn? Au jogoo hawiki nn?Astakafillah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
cocastic kwani wizo kwanini mnamruhusu anywe vikali
Mweeeeeeeeh mbona hivo tena ππππππππππSi wee umtulize, unashangaa shangaa nn? Au jogoo hawiki nn?
Em sema ukweli usaidiwe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]