Baby wangu anapost picha za Wanaume kwenye DP yake

Baby wangu anapost picha za Wanaume kwenye DP yake

Ikisema baby mama unamaanisha mzazi mwezio? Kama ni hivyo basi hakuna haja kulalama hapa maana huyo ni single maza na wajuba wanamkamia, ila kama ni mchumba au mkeo basi tumia uanaume wako tabia ikome, watakua au watamla hao
 
Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.

Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana

Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu

VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
Huyu ni yule aliyeanza kutembeza juice au mwingine ?
 
Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.

Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana

Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu

VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
Mkuu umesahau kwamba wewe ni dereva wa GUTA?
 
Shida ya kuoa malaya wasio na elimu wala ufahamu.

Mimi sio kungwi wa ndoa lakini naamini mtu ukishaolewa lazima ukubali kumilikiwa na mwenzio na uepuke kuleta makwazo yasiyo na msingi hasa makwazo ya kimalaya.

Hapo anakutumia ujumbe na kukupasha kuwa wewe si ROROTE. Anakubinya kisaikolojia.

Ningekuwa mimi namkata makofi matatu ya kimkakati PAAAAAAH kofi la kulia, PAAAAAHH, Kofi la kushoto, PAAAAAH kofi la nyongeza la MWANA UKOME, halafu namfukuza CHAAP.

Yanini kuishi na limalaya au limtu linalokuchukulia poa?

F. U. K. U. Z. A.

Cc Lamomy Extrovert mshamba_hachekwi cocastic Poor Brain adriz
PAAAH la kulia
PAAAH la kushoto
PAAAH la matrako
Alafu nafukuza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Alafu mkuu namugari si ndo weww wadau walikua wanasema unafanyaga challenge kule TikTok...?
 
Shida ya kuoa malaya wasio na elimu wala ufahamu.

Mimi sio kungwi wa ndoa lakini naamini mtu ukishaolewa lazima ukubali kumilikiwa na mwenzio na uepuke kuleta makwazo yasiyo na msingi hasa makwazo ya kimalaya.

Hapo anakutumia ujumbe na kukupasha kuwa wewe si ROROTE. Anakubinya kisaikolojia.

Ningekuwa mimi namkata makofi matatu ya kimkakati PAAAAAAH kofi la kulia, PAAAAAHH, Kofi la kushoto, PAAAAAH kofi la nyongeza la MWANA UKOME, halafu namfukuza CHAAP.

Yanini kuishi na limalaya au limtu linalokuchukulia poa?

F. U. K. U. Z. A.

Cc Lamomy Extrovert mshamba_hachekwi cocastic Poor Brain adriz
Wee wizoo hebu acha kuharibu ndoa ya watu. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.

Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana

Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu

VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
Kuna namna umekubali kuwa fala mwanangu
 
Back
Top Bottom