dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #21
Hi alikuwan nayo beforeHiyo tabia kaanza baada ya kuanza kusambaza JUICE mtaani au ??๐ก
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi alikuwan nayo beforeHiyo tabia kaanza baada ya kuanza kusambaza JUICE mtaani au ??๐ก
Sasa utawatema wangali bosKuna watu wanapenda mateso asee, hivi kuna ugumu gani kutema chambo, mimi sijawah ona shida kumuacha demu akileta ujinga...
Au watakua ni wateja wake wa jwisiKuna ujumbe natumiwa
Huyu namrudisha kwaoMpige vikwazo vya kiuchumi!
Huu upumbafu sintofanyaAnaweza akawa anafanya makusudi ili uone wivu na wewe fanya hivi uwe na wewe unapost wanawake alafu angalia reaction yake
Huyu ni yule aliyeanza kutembeza juice au mwingine ?Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.
Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana
Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu
VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
Mkuu umesahau kwamba wewe ni dereva wa GUTA?Hiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.
Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana
Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu
VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
NakaziaKunywa sumu
PAAAH la kuliaShida ya kuoa malaya wasio na elimu wala ufahamu.
Mimi sio kungwi wa ndoa lakini naamini mtu ukishaolewa lazima ukubali kumilikiwa na mwenzio na uepuke kuleta makwazo yasiyo na msingi hasa makwazo ya kimalaya.
Hapo anakutumia ujumbe na kukupasha kuwa wewe si ROROTE. Anakubinya kisaikolojia.
Ningekuwa mimi namkata makofi matatu ya kimkakati PAAAAAAH kofi la kulia, PAAAAAHH, Kofi la kushoto, PAAAAAH kofi la nyongeza la MWANA UKOME, halafu namfukuza CHAAP.
Yanini kuishi na limalaya au limtu linalokuchukulia poa?
F. U. K. U. Z. A.
Cc Lamomy Extrovert mshamba_hachekwi cocastic Poor Brain adriz
Wee wizoo hebu acha kuharibu ndoa ya watu. KhaaahShida ya kuoa malaya wasio na elimu wala ufahamu.
Mimi sio kungwi wa ndoa lakini naamini mtu ukishaolewa lazima ukubali kumilikiwa na mwenzio na uepuke kuleta makwazo yasiyo na msingi hasa makwazo ya kimalaya.
Hapo anakutumia ujumbe na kukupasha kuwa wewe si ROROTE. Anakubinya kisaikolojia.
Ningekuwa mimi namkata makofi matatu ya kimkakati PAAAAAAH kofi la kulia, PAAAAAHH, Kofi la kushoto, PAAAAAH kofi la nyongeza la MWANA UKOME, halafu namfukuza CHAAP.
Yanini kuishi na limalaya au limtu linalokuchukulia poa?
F. U. K. U. Z. A.
Cc Lamomy Extrovert mshamba_hachekwi cocastic Poor Brain adriz
Aache wakati unafurahia ๐๐๐๐Wee wizoo hebu acha kuharibu ndoa ya watu. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna namna umekubali kuwa fala mwananguHiki kitendo anachonifanyia baby mama wangu sielewi kbsa
Mara nyingi unakuta amepost na kuwa wish birthday na kuwapongeza kwa mafanikio mbalimbali wanao fikia hao jamaa ,hata wanaomaliza masoma anawapost na kuwa wish na hata wanao oa pia anawapost lkn Wala si ndugu zake au wadogo zake wa damu anapost Ni vinyoa viduku viduku Mara chache Sana amempost shoga zake wengi Ni wanaume.
Mpaka sasa hivi naogopa kuview post zake kwa kuogopa kulumbana nae. Nawaza nimpigie chini tu ila sasa tuko hatua za mwisho kuoana
Nikimuuza nani k huyu atasema rafiki angu tu au wamesoma nae atasema kaka alikuwa ananisaidia sana hesabu
VIP nitulie tu au nichukue hatua Kali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em niachee huko. MxxxxiiiiieeeewAache wakati unafurahia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafurahia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em niachee huko. Mxxxxiiiiieeeew
๐๐๐๐๐ ukishanipiga kofi la matrako nanogewa siondoki hadi uninyanduePAAAH la kulia
PAAAH la kushoto
PAAAH la matrako
Alafu nafukuza ๐๐๐