Baby wangu anapost picha za Wanaume kwenye DP yake

Ikisema baby mama unamaanisha mzazi mwezio? Kama ni hivyo basi hakuna haja kulalama hapa maana huyo ni single maza na wajuba wanamkamia, ila kama ni mchumba au mkeo basi tumia uanaume wako tabia ikome, watakua au watamla hao
 
Huyu ni yule aliyeanza kutembeza juice au mwingine ?
 
Mkuu umesahau kwamba wewe ni dereva wa GUTA?
 
PAAAH la kulia
PAAAH la kushoto
PAAAH la matrako
Alafu nafukuza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alafu mkuu namugari si ndo weww wadau walikua wanasema unafanyaga challenge kule TikTok...?
 
Wee wizoo hebu acha kuharibu ndoa ya watu. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna namna umekubali kuwa fala mwanangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…