Baby wangu anapost picha za Wanaume kwenye DP yake

Mpokonye simu ama laah na wewe post wanawake akiuliza mwambie huyu alikuwa ananisaidia kufua wakati niko chuo mwingine tena akiuliza mwambie huyu alikuwa ananisaidia chabo kuandika kwa mapaja, asipo acha njoo unipige nimekaa hapa mloganzira
 
Si wee umtulize, unashangaa shangaa nn? Au jogoo hawiki nn?
Em sema ukweli usaidiwe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mweeeeeeeeh mbona hivo tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bichwa hajawahi tulia hata mara moja aiseeeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…