Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Tungi,nasikia anashusha ma Jibapa hata mawiliDaah vyuma vya Magu sio mchezo,kutoka Mwandishi wa Rais(enzi za mkapa) kwenda kua bosd wa PR NMB,then ubunge wa E/Africa(na hapo jina lake lilipoletwa Kwny kikao cha uteuzi kwa awamu nyingine Magu akasema tena huyu sitaki kumsikia kabisaa hahah) then kuka kwny kuanzisha Bachelorette sio.
Anyway she got balls,maisha lazima yaendelee nje ya system.