Bachelorette Shyrose Bhanji

Bachelorette Shyrose Bhanji

Daah vyuma vya Magu sio mchezo,kutoka Mwandishi wa Rais(enzi za mkapa) kwenda kua bosd wa PR NMB,then ubunge wa E/Africa(na hapo jina lake lilipoletwa Kwny kikao cha uteuzi kwa awamu nyingine Magu akasema tena huyu sitaki kumsikia kabisaa hahah) then kuka kwny kuanzisha Bachelorette sio.

Anyway she got balls,maisha lazima yaendelee nje ya system.
Tungi,nasikia anashusha ma Jibapa hata mawili
 
Bongo bhana... kukandya ndiyo jadi yetu.. mara "usidanganywe na nywele za singa..", mara P.Mayall aliongea hii kitu.... wakati kila mtu ana yake anayoyafanya asipokuwa public... tena maovu.. maana tungi na sigara havijawahi kuwa uovu hapa bongo.. sanasana ndo vinagombewa na kila bajeti ya mwaka kuboost mapato ya serikali...
 
Bongo bhana... kukandya ndiyo jadi yetu.. mara "usidanganywe na nywele za singa..", mara P.Mayall aliongea hii kitu.... wakati kila mtu ana yake anayoyafanya asipokuwa public... tena maovu.. maana tungi na sigara havijawahi kuwa uovu hapa bongo.. sanasana ndo vinagombewa na kila bajeti ya mwaka kuboost mapato ya serikali...


I know right, mulemule!
 
View attachment 834182View attachment 834183

Mdada Shyrose naona anataka ku Introduce program ya Bachelorette, ambayo ni maarufu na hurushwa sehemu nyingine hapa duniani. Ni program ambayo wakaka hujitokeza na kujieleza kwa nini wanafaa kumuoa mdada fulani, na mwisho mdada huchagua mwanaume anae ona anafaa.

Shyrose mwenyewe alianza kuongelea ndoa kitambo, akisema kahamasishwa na Duchess of Sussex Princess Meghan. Kwa hiyo anakaribisha wakaka wanao ona wanamfaa, (kama program itafanikiwa)
Then at the end, atachagua ataemfaa kama atampenda.

Hope this will work in Tanzania, where individuals with this kind of confidence are rare.
She has the guts!

View attachment 834186
Daah fursa hii, tatizo sina madaraka ya kulevya
 
Hahaha!, just don't exit the room at my kisukuma accent! 😊😁😂
Ukianza Sukuma accent tunakupeleka Sagulaga.

Ha mabina, okobina ng'waanike?

Nalehayaa kwiza Nasaaa, aleyoo naledummma
E hela ndohokongono
Ing'ombeee, jamala matungo, nalela masumandaaa...

Abanikee, bapela geteee,batohaya nolo konigeshaa
Pye abanisalee, batohaya konibona, kongono nate nolo nii embulii emooo

Ing'ombee, jamala matungoo, nalela masumandaaa

Nalohaya kwiza kayaa, aleyoo naledumaa
E hela ndoho kongonooo
Ing'ombeee, jamala matungo, nalela masumandaaa
 
Ukianza Sukuma accent tunakupeleka Sagulaga.

Ha mabina, okobina ng'waanike?

Nalehayaa kwiza Nasaaa, aleyoo naledummma
E hela ndohokongono
Ing'ombeee, jamala matungo, nalela masumandaaa...

Abanikee, bapela geteee,batohaya nolo konigeshaa
Pye abanisalee, batohaya konibona, kongono nate nolo nii embulii emooo

Ing'ombee, jamala matungoo, nalela masumandaaa

Nalohaya kwiza kayaa, aleyoo naledumaa
E hela ndoho kongonooo
Ing'ombeee, jamala matungo, nalela masumandaaa


Hahahah!, Uwiii!, jamani Kiranga basi nimekosea, my baaad!
I won't speak with a Kisukuma accent, ever again! 😂😂😂

Hahah, ngoja nikachimbue, umeniweza haswa! 😂
 
Yeah ni kweli. Sio wote lakini.
Yaah uko sawa, ila wengi wao, angalia maisha ya wanawake walio kwenye spotlight na upige mzani % ya wangapi wako happy na wangapi wapo miserable, wanawake wana hisia sana so wakipigwa criticism kidogo wanarudi na emotion zao nyumbani
 
Back
Top Bottom