Bachelorette Shyrose Bhanji

Tungi,nasikia anashusha ma Jibapa hata mawili
 
Bongo bhana... kukandya ndiyo jadi yetu.. mara "usidanganywe na nywele za singa..", mara P.Mayall aliongea hii kitu.... wakati kila mtu ana yake anayoyafanya asipokuwa public... tena maovu.. maana tungi na sigara havijawahi kuwa uovu hapa bongo.. sanasana ndo vinagombewa na kila bajeti ya mwaka kuboost mapato ya serikali...
 


I know right, mulemule!
 
Kwa niniunasema hivyo?

Tena wa kwanza tunatakakukuona wewe.

I know you will kill it.


Hahaha!, just don't exit the room at my kisukuma accent! πŸ˜ŠπŸ˜πŸ˜‚
 
Daah fursa hii, tatizo sina madaraka ya kulevya
 
Hahaha!, just don't exit the room at my kisukuma accent! πŸ˜ŠπŸ˜πŸ˜‚
Ukianza Sukuma accent tunakupeleka Sagulaga.

Ha mabina, okobina ng'waanike?

Nalehayaa kwiza Nasaaa, aleyoo naledummma
E hela ndohokongono
Ing'ombeee, jamala matungo, nalela masumandaaa...

Abanikee, bapela geteee,batohaya nolo konigeshaa
Pye abanisalee, batohaya konibona, kongono nate nolo nii embulii emooo

Ing'ombee, jamala matungoo, nalela masumandaaa

Nalohaya kwiza kayaa, aleyoo naledumaa
E hela ndoho kongonooo
Ing'ombeee, jamala matungo, nalela masumandaaa
 


Hahahah!, Uwiii!, jamani Kiranga basi nimekosea, my baaad!
I won't speak with a Kisukuma accent, ever again! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahah, ngoja nikachimbue, umeniweza haswa! πŸ˜‚
 
Yeah ni kweli. Sio wote lakini.
Yaah uko sawa, ila wengi wao, angalia maisha ya wanawake walio kwenye spotlight na upige mzani % ya wangapi wako happy na wangapi wapo miserable, wanawake wana hisia sana so wakipigwa criticism kidogo wanarudi na emotion zao nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…