Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ukiacha pombe nitafuteNitakufuata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha pombe nitafuteNitakufuata
Hahaha, hilo tu kuna jingine?Ukiacha pombe nitafute
Watu warefu kwenda ardhini wana makeke sana... Hata hivyo ndio nyakati tunazoishi... Uchumba kwa vigezo si mapenziView attachment 834182View attachment 834183
Mdada Shyrose naona anataka ku Introduce program ya Bachelorette, ambayo ni maarufu na hurushwa sehemu nyingine hapa duniani. Ni program ambayo wakaka hujitokeza na kujieleza kwa nini wanafaa kumuoa mdada fulani, na mwisho mdada huchagua mwanaume anae ona anafaa.
Shyrose mwenyewe alianza kuongelea ndoa kitambo, akisema kahamasishwa na Duchess of Sussex Princess Meghan. Kwa hiyo anakaribisha wakaka wanao ona wanamfaa, (kama program itafanikiwa)
Then at the end, atachagua ataemfaa kama atampenda.
Hope this will work in Tanzania, where individuals with this kind of confidence are rare.
She has the guts!
View attachment 834186
Umenikumbusha your baby girl Shishi Trump. Haki I love her! 😁
Yaah uko sawa, ila wengi wao, angalia maisha ya wanawake walio kwenye spotlight na upige mzani % ya wangapi wako happy na wangapi wapo miserable, wanawake wana hisia sana so wakipigwa criticism kidogo wanarudi na emotion zao nyumbani
We najua accent ya rafiki yako V-Money unaiweza, basi mbwembwe tu.Hahahah!, Uwiii!, jamani Kiranga basi nimekosea, my baaad!
I won't speak with a Kisukuma accent, ever again! 😂😂😂
Hahah, ngoja nikachimbue, umeniweza haswa! 😂
Hayo maneno ya mwisho ukijaribu kuyasoma kama shishi bebe unaweza ukaharibu hadi menoIla nimeelewakwa nini Shishi anatesa.
The mere guts kukubali hapa nimeshindwa na nahitaji msaada huu kuendelea vizuri nikitu fulani watu wengi hawawezi.
British Councilnao wakaona what a rare opportunity tunampata star wa kibongo awakumbushe watu tupo bado.
Maana kuna watu wanakaa Dar lakini British Council kwao ni kama London vile.
Labda huyu atawafungua macho watu waende pale, we used to go there, USIS Library by Peugeot House and Maktaba ya Taifa, back in the days.
So any publicity for these institutions, is good publicity as far as I am concerned.
Inaitwa double impactmaskini Jaffarai Mziki umemshinda, Na huyu dada pia kamshindwa......
Inaitwa double impact
Ila nimeelewakwa nini Shishi anatesa.
The mere guts kukubali hapa nimeshindwa na nahitaji msaada huu kuendelea vizuri nikitu fulani watu wengi hawawezi.
British Councilnao wakaona what a rare opportunity tunampata star wa kibongo awakumbushe watu tupo bado.
Maana kuna watu wanakaa Dar lakini British Council kwao ni kama London vile.
Labda huyu atawafungua macho watu waende pale, we used to go there, USIS Library by Peugeot House and Maktaba ya Taifa, back in the days.
So any publicity for these institutions, is good publicity as far as I am concerned.
Uswahilini tuliita double van dameHiyo ni muvi ya Vandame na Bolo yang
We najua accent ya rafiki yako V-Money unaiweza, basi mbwembwe tu.
Ukijifanya accent ya Kisukuma ya kulazimisha utajing'ata ulimi bure ukitamka Jigangajilangisang'wanawang'anamalundi.
Kuna wakati naona kufakamia zike novels za Charles Dickens wakati zilipokuwa zimenizidi kimo nilifanya jambo la maana sana.Hayo maneno ya mwisho ukijaribu kuyasoma kama shishi bebe unaweza ukaharibu hadi meno
Hahaa imenibidi nipige kolabo na dikishonari,Teh teh huyu Cougar yule Jaffarai wake kwanini hakumuoa ?