Back to Back ya Ali Kiba muathirika ni Harmonize

Back to Back ya Ali Kiba muathirika ni Harmonize

Miezi 6 kitu gani? King alikaa karibia miaka 3 akatoa wimbo wa Taifa Mwana watu wakaugua visukari kutwa kucha kupishana kwa waganga, unakaa miezi 6 unatoka huu utopolo tena umeiba idea

Konde gang ni kundi la wahuni, ni kama Wcb tu vyuo vya matusi,huyo kili ni kama beki tatu kutwa kutangatanga kwenye majumba ya watu kutafuta kazi za ndani
Miaka mitatu si aliamua mwenyewe, kulelewa na mama wa bongo star search hamna aliye mzuia.
Huo uto ndio unakimbiza huko kwenye Digital platforms karibia zote.


Duu kwa hiyo Konde leo kundi la wahuni, haya ila Killy sio muhuni, wewe naona sababu yupo Konde haupost thread zake kama ilivyokuwa zamani, sio fureshiiiiiiiiiiiii mwanangu mwenyewe.
 
Miezi 6 kitu gani? King alikaa karibia miaka 3 akatoa wimbo wa Taifa Mwana watu wakaugua visukari kutwa kucha kupishana kwa waganga, unakaa miezi 6 unatoka huu utopolo tena umeiba idea

Konde gang ni kundi la wahuni, ni kama Wcb tu vyuo vya matusi,huyo kili ni kama beki tatu kutwa kutangatanga kwenye majumba ya watu kutafuta kazi za ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miaka mitatu si aliamua mwenyewe, kulelewa na mama wa bongo star search hamna aliye mzuia.
Huo uto ndio unakimbiza huko kwenye Digital platforms karibia zote.


Duu kwa hiyo Konde leo kundi la wahuni, haya ila Killy sio muhuni, wewe naona sababu yupo Konde haupost thread zake kama ilivyokuwa zamani, sio fureshiiiiiiiiiiiii mwanangu mwenyewe.
Kwani Sadala kukaa miezi sita kuna mtu alimlazimisha? Unakwepa kuzungumzia ubora wa ngoma unakimbilia kwenye Digtal platforms, ngoma mbovu unaa miezi 6 unakuja kutoa ngoma mbovu tena idea umeiba
 
Kwani Sadala kukaa miezi sita kuna mtu alimlazimisha? Unakwepa kuzungumzia ubora wa ngoma unakimbilia kwenye Digtal platforms, ngoma mbovu unaa miezi 6 unakuja kutoa ngoma mbovu tena idea umeiba
Ngoma mbovu kwako, ila kwa wenzio wenye hela wana stream huko kwenye digital platforms na ndio nyimbo inayo kimbiza kwa sasa ila sio mbaya kuongelea mtizamo wako.
 
Ngoma mbovu kwako, ila kwa wenzio wenye hela wana stream huko kwenye digital platforms na ndio nyimbo inayo kimbiza kwa sasa ila sio mbaya kuongelea mtizamo wako.
Dijito gani, sasa hivi mfalme wa bongo fleva ni Hamonizer jana ndio ilikuwa siku anapewa hicho kiti cha ufalme alivyotoa sandakalawe....unaambiwa views 100,000 ndani ya saa moja kwa audio tu !🤣
 
Dijito gani, sasa hivi mfalme wa bongo fleva ni Hamonizer jana ndio ilikuwa siku anapewa hicho kiti cha ufalme alivyotoa sandakalawe....unaambiwa views 100,000 ndani ya saa moja kwa audio tu !🤣
Sportfy, Boombplay,Audiomack, Itunes, Apple nk sasa huko YouTube Diamond ishakuwa tabia yake.

Enheeei kwani Sadakalawe ina stream ngapi mpaka hivi sasa YouTube tu.
 
kiongozi umeonyesha utimamu wako katika hili. umeongea point saana!

kosa moja tu kubwa katika thread hili ulilolifanya ni kutosema chochote kuhusu 'SALUTE'...........anyway, kumbe haikuwa hoja kuu ktk thread hii
 
Sportfy, Boombplay,Audiomack, Itunes, Apple nk sasa huko YouTube Diamond ishakuwa tabia yake.

Enheeei kwani Sadakalawe ina stream ngapi mpaka hivi sasa YouTube tu.
Umetafuta ka kichaka ka kujificha hahahaa, ebu lete takwimu tujionee
 
Umetafuta ka kichaka ka kujificha hahahaa, ebu lete takwimu tujionee
Kichaka kipi,we endelea na hisia sisi tuendelee kutizama number.

Apple
Screenshot_20210626-181741_Instagram~2.jpg


Sportfy
Screenshot_20210626-181826_Instagram~2.jpg


Haya wewe leta za Killy 😀😀😀
 
Kichaka kipi,we endelea na hisia sisi tuendelee kutizama number.

Apple
View attachment 1830936

Sportfy
View attachment 1830937

Haya wewe leta za Killy [emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona Boomplay siion hapo na Audiomack au siyo Digtal platforms, bahati mbaya kakichala kako ni kakaranga mwili wote unaonekana,

Na kwanini hapo Wcb umejichagulia ka kichaka ka Sadala hao weengine hauwasapot, kuna kwin dalin,lavalava wanalalamika uwapi sapot
 
Mbona Boomplay siion hapo na Audiomack au siyo Digtal platforms, bahati mbaya kakichala kako ni kakaranga mwili wote unaonekana,

Na kwanini hapo Wcb umejichagulia ka kichaka ka Sadala hao weengine hauwasapot, kuna kwin dalin,lavalava wanalalamika uwapi sapot
Sasa unabishana na Apple na Sportfy ?Basi tufanye waongo.

Haya Boomplay uliowataka hao hapo ,kwa siku ya jana tu.
Screenshot_20210626-194936_Instagram.jpg


KWIN kalalamika wapi? Lavalava hapewi sapoti kama ipi, au labda huko kwenu kuna wasanii wanaopewa saport zaini ya KWIN na Lavalava,ambao wapo mbali zaidi ya KWIN na Lavalava.

Mimi ninekuuliza mbona KILLY wa Konde Gang siku hizi umemchunia................

Usiwe mkali acha namba ziongee.
 
Sasa unabishana na Apple na Sportfy ?Basi tufanye waongo.

Haya Boomplay uliowataka hao hapo ,kwa siku ya jana tu.
View attachment 1831069

KWIN kalalamika wapi? Lavalava hapewi sapoti kama ipi, au labda huko kwenu kuna wasanii wanaopewa saport zaini ya KWIN na Lavalava,ambao wapo mbali zaidi ya KWIN na Lavalava.

Mimi ninekuuliza mbona KILLY wa Konde Gang siku hizi umemchunia................

Usiwe mkali acha namba ziongee.
Mwamba umemuumbua kwa facts aisee akutegemea utakuja na ushahidi
 
Mimi ni shabiki wa mziki mzuri(burudani)
Napenda mziki wa kiba, harmonize na hata wasafi pia
 
Konde boy aache uhuni kama wa kaka yake...akae chini apike mziki mzuri usio na purukushani zisizostahili..otherwise tuendako stress zitamtesa sana.
 
Mimi nilikuwaga WCB Ila alivotoka konde ni kasepa naye huyo aina uhusiano na alikiba, tambua Kuna scenarior nyingi Sana,
Tafiti yake iko sawa sawia ila alisahau kuandika ya kuwa huo utafiti hauwahusi nyie akina 'nchumali'.
 
Kwani Sadala kukaa miezi sita kuna mtu alimlazimisha? Unakwepa kuzungumzia ubora wa ngoma unakimbilia kwenye Digtal platforms, ngoma mbovu unaa miezi 6 unakuja kutoa ngoma mbovu tena idea umeiba
Sema nini mwanangu ulipotea Sana Mzee Baba , mbwa Koko wa kondegang walikuwa wanatusumbua sana humu , mara wacheze porn yaani taabu tupu , kuja sasa utupe mavitu ya king music chief
 
Dijito gani, sasa hivi mfalme wa bongo fleva ni Hamonizer jana ndio ilikuwa siku anapewa hicho kiti cha ufalme alivyotoa sandakalawe....unaambiwa views 100,000 ndani ya saa moja kwa audio tu !🤣
Njoo tena uongee huo utopolo hapa, views za kushindilia watu kwenye chumba na mitecno , zko wap sasa
 
Back
Top Bottom