Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Uongo
 
Nakupa homework rahisi tu rafiki. Angalia idadi ya machawa walipo sasa hvi then nenda katazame walisoma shule zipi? Majibu yatakushangaza sana mkuu.
 
Kiufupi masikinini wa fikra watauona huu Uzi ni WA maana lakini mtu mwenye akili timamu atahakikisha mtoto anasoma shule nzuri angalau hata hizi English medium.wanasiasa wenyewe ambao wanawahamasisha wananchi wasomeshe watoto hizi shule za walala hoi lakini watoto wao huwezi kuwaona kwenye hizo shule maana wanajua hizi shule hazimwandai mtu kuwa na ujuzi mzuri utakaombeba kihadhi ya Dunia.
 
Ameanza 2023 mkuu, sema 2024 ndio emeweka nyuzi nyingi zaidi.

Na Mimi huu ni Uzi wangu namba 2 nilishawahi kupost Uzi hapa kuhusu faida nilizo zipata baada ya kuwatoa watoto wangu ENGLISH mediums.
Tupia linki ya huo uzi mwengine kama kweli hudanganyi
 
Mawazo yako Na yangu yanafanana
 
Una wazo kama langu huwa nawaza hivihiv
 
How?
 
Jomba una stress kinyama. Huu ni uzi wako ukisema watoto wako umewarejesha English Medium. Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…