English Mediums hizi hizi?
Waalimu wenyewe hawana exposure
Labda EM zipi mkuu?
Za uchochoroni sawa lakini peleka mtoto zile za maana,ana gain vitu vingi sana kuanzia arts, technological advanced,tour nyingi zinazowajenga n.k
Sasa kama Kuna zinazompeleka mtoto mpaka nje,mambugani,na kila kitu unategemea exposure ya huyu mtoto itakua sawa na kayumba ambaye anakuja kujifunza chuo ama akiwa kazini/kaanza maisha.
Walosoma EM wametupita sana,ni vile TU tumekutana nao chuo class moja na kua mabest kibinadamu.Ila uhalisi wanakiangalia kitu kwa tathmini kubwa sana.
Hebu ona wanavyo buni ma-NGO'S,market company zinazofanya kazi na govt na makampuni makubwa.
Hebu ona jicho la fursa kwao lilivyo kubwa.
Wewe wajifunza kufungua company,wao wanafanya simple TU.
Nimeona,Nina hao marafiki yani jambo gumu kwa sisi wa kayumba wao ni simple sana hasa technology za Computer/IT,Magari,design,market,fursa,service company like security,sub-contractor, Accountant company,Law firms,big event preparations, consultant company ktk nyanja mbalimbalin.k
Hivi vitu sisi tunachukulia poa lakini wenzetu wamepata-exposure hizo na Zina run maisha Yao fresh sana