Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Laki kwa mwezi, masaa mawili halafu mwalimu kichwa? Labda walimu wa serikalini, au wasome kama kundi (si one-on-one) plus, mwalimu awe average.
Walimu wazuri wako busy sana.
Walimu wa primary private schools wanchaji 10,000+ kwa risali.
Hata serikalin wapo walimu zuri sana,
 
Unless hiyo kayumba unayosomesha wanao iwe ni english medium, uaamuzi wako utakuja kukugharimu mbele ya safari, kiswahili kama lugha ya kufundishia kinadumaza sana uelewa wa watoto wetu maana vitu bingi vinavyofungua upeo vipo katika lugha ya kiingereza.
Baba zao si tumesoma shule hizo za Kiswahili? Wasomi wote unao waona sasa hvi ni products za saint Kayumba, hizo shule za saints watakatifu zimeanza katikati ya miaka ya 90, kwenye system hawapo wengi kiviile so what do u mean kwamba sijui Kingereza?
 
Nilifuata ushauri wa Likud Nina watoa watoto wangu shule ya English Mediums.

Niliwatoa mwaka jana katikati. So mwaka huu mzima watoto wangu wamesoma Kayumba.

1. Kwa mwaka huu mzima pamoja na kumalizia kibanda changu na kununua kiwanja kingine,nimeweza kuhifadhi shilingi milioni 8 na uchafu.


2. Hili limewezekana kwa sababu nimewatoa watoto wangu shule ya English Medium.

Nilikuwa nasomesha watoto wa3. Mtoto mmoja kwa mwaka ada tu ni milioni mbili, bado hajaweka usafiri na vikorokocho vingine tuseme ukihesabu na hivyo inakuwa milioni 3 na ushee.

So kwa watoto watatu maana yake ningekuwa nimetoa milioni kumi halafu pia nisingekuwa na akiba yani sasa hivi ningekuwa naumiza kichwa ntapata wapi hela za kuwalia wanangu.

But :

1. Nimehamia kwangu. Watoto wangu wanaishi nyumbani kwababa yao. Nisinge wahamisha hadi muda huu ningekuwa sijajenga wala nisinge kuwa na kiwanja cha ziada wala hiyo milioni nane.

2. Nina kimilioni nane changu ambacho kufikia mwakani mwezi wa kumi na.mbili kwa mipango niliyo iweka itakuwa imezalisha mara kumi yake.

3. Watoto wangu wanasoma shule kifalme. Wanaenda kwa miguu umbali wa kama dakika kumi. Wanakula vizuri, wanalala pazuri, wanavaa vizuri, shuleni wana sare pea tano tano viatu pea tano tano mabegi pea 3 tatu kila mmoja.


Nawasimamia vizuri.

Wanafanya vizuri darasani.

Nimewawekea programme za kitaaluma : home tuition; English, Hesabu na Sayansi plus programme za kitaaluma kupitia kwenye Tv ya nchi 40+ ambayo pengine nisinge weza kuinunua kama wangesoma shule ya Em coz hela yote ingeishia kwenye ada.


Asante sana Likud.

Watanzania wenzangu wenye kipato cha kawaida fikirieni mara mbili. Wacheni kujistress na ada kwenye shule za EM wakati uwezo wenu ni wa kuunga unga.

Kusomea EM at least uwe na networth ya kuanzia walau milioni 150 plus.
Nakuunga mkono,mimi hizi shule zilichangia pa kubwa sana kunichomea pesa zangu,bahati nzuri wa mwisho alifaulu form 4 akachaguliwa special school nikampeleka huko,mwaka kesho anamaliza form 6,no ada na anafanya vizuri sana...
 
Baba zao si tumesoma shule hizo za Kiswahili? Wasomi wote unao waona sasa hvi no products za saint Kayumba, hizo shule za saints watakatifu zimeanza katikati ya miaka ya 90, kwenye system hawapo wengi kiviile so what do u mean kwamba sijui Kingereza?
Hawa wasomi wa phd wanaosema waliokotwa. Jaalalani? Umeshawahi kuona integrity level ya mtu wa phd huko first class world?
Saint Kayumba zinazalisha wasomu wa kukariri ndo maana hata sindano hatuvumbui.
 
Hizi shule za kina Junior ukicheza nazo zinakufirisi kimya kimya.

Unakuwa unazitafutia ada tu. Mambo mengine ya muhimu yanasimama
Alafu cha maana hakuna zaidi ya mtoto kuzungumza lugha ya watu,
Angalau zingekua na mtaala wa fani tofauti tofauti ama fani moja ingekua ni shule yenye ulazima ,mfano mechanics,umeme wa viwanda na majumbani,serenala,uashi na kadhalika .
lakini bado mitaala inafundisha kuwa mtegemezi hazina maana yoyote,
 
English Mediums hizi hizi?

Waalimu wenyewe hawana exposure
Labda EM zipi mkuu?
Za uchochoroni sawa lakini peleka mtoto zile za maana,ana gain vitu vingi sana kuanzia arts, technological advanced,tour nyingi zinazowajenga n.k
Sasa kama Kuna zinazompeleka mtoto mpaka nje,mambugani,na kila kitu unategemea exposure ya huyu mtoto itakua sawa na kayumba ambaye anakuja kujifunza chuo ama akiwa kazini/kaanza maisha.

Walosoma EM wametupita sana,ni vile TU tumekutana nao chuo class moja na kua mabest kibinadamu.Ila uhalisi wanakiangalia kitu kwa tathmini kubwa sana.
Hebu ona wanavyo buni ma-NGO'S,market company zinazofanya kazi na govt na makampuni makubwa.
Hebu ona jicho la fursa kwao lilivyo kubwa.
Wewe wajifunza kufungua company,wao wanafanya simple TU.

Nimeona,Nina hao marafiki yani jambo gumu kwa sisi wa kayumba wao ni simple sana hasa technology za Computer/IT,Magari,design,market,fursa,service company like security,sub-contractor, Accountant company,Law firms,big event preparations, consultant company ktk nyanja mbalimbalin.k
Hivi vitu sisi tunachukulia poa lakini wenzetu wamepata-exposure hizo na Zina run maisha Yao fresh sana
 
Hawa wasomi wa phd wanaosema waliokotwa. Jaalalani? Umeshawahi kuona integrity level ya mtu wa phd huko first class world?
Saint Kayumba zinazalisha wasomu wa kukariri ndo maana hata sindano hatuvumbui.
Kama nakuelewa vizuri ni kwamba, in recently years tutaanza kubuni vitu vyetu cause saint saints zime produce products za kutosha na zipo mtaani by now, right? Tutaanza kua na magari yetu nk.
 
Kama nakuelewa vizuri ni kwamba, in recently years tutaanza kubuni vitu vyetu cause saint saints zime produce products za kutosha na zipo mtaani by now, right? Tutaanza kua na magari yetu nk.
Haipo hivyo japo umeongea kwa kejeli.
English medium schools are there kupunguza damage kwenye already damaged education structure ya kumfundisha mtoto masomo kwa kiswahili ambacho. Kina limitation kadhaa
Ni. Kama vile mgonjwa wa kisukari anapoambiwa asitumie vyakula vya wanga, haimaanishi kuwa atapona kisukari , bali anapunguza madhara tu.
 
Back
Top Bottom