Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Nilifuata ushauri wa Likud Nina watoa watoto wangu shule ya English Mediums.

Niliwatoa mwaka jana katikati. So mwaka huu mzima watoto wangu wamesoma Kayumba.

1. Kwa mwaka huu mzima pamoja na kumalizia kibanda changu na kununua kiwanja kingine,nimeweza kuhifadhi shilingi milioni 8 na uchafu.


2. Hili limewezekana kwa sababu nimewatoa watoto wangu shule ya English Medium.

Nilikuwa nasomesha watoto wa3. Mtoto mmoja kwa mwaka ada tu ni milioni mbili, bado hajaweka usafiri na vikorokocho vingine tuseme ukihesabu na hivyo inakuwa milioni 3 na ushee.

So kwa watoto watatu maana yake ningekuwa nimetoa milioni kumi halafu pia nisingekuwa na akiba yani sasa hivi ningekuwa naumiza kichwa ntapata wapi hela za kuwalia wanangu.

But :

1. Nimehamia kwangu. Watoto wangu wanaishi nyumbani kwababa yao. Nisinge wahamisha hadi muda huu ningekuwa sijajenga wala nisinge kuwa na kiwanja cha ziada wala hiyo milioni nane.

2. Nina kimilioni nane changu ambacho kufikia mwakani mwezi wa kumi na.mbili kwa mipango niliyo iweka itakuwa imezalisha mara kumi yake.

3. Watoto wangu wanasoma shule kifalme. Wanaenda kwa miguu umbali wa kama dakika kumi. Wanakula vizuri, wanalala pazuri, wanavaa vizuri, shuleni wana sare pea tano tano viatu pea tano tano mabegi pea 3 tatu kila mmoja.


Nawasimamia vizuri.

Wanafanya vizuri darasani.

Nimewawekea programme za kitaaluma : home tuition; English, Hesabu na Sayansi plus programme za kitaaluma kupitia kwenye Tv ya nchi 40+ ambayo pengine nisinge weza kuinunua kama wangesoma shule ya Em coz hela yote ingeishia kwenye ada.


Asante sana Likud.

Watanzania wenzangu wenye kipato cha kawaida fikirieni mara mbili. Wacheni kujistress na ada kwenye shule za EM wakati uwezo wenu ni wa kuunga unga.

Kusomea EM at least uwe na networth ya kuanzia walau milioni 150 plus.
Sio kweli
 
Nilifuata ushauri wa Likud Nina watoa watoto wangu shule ya English Mediums.

Niliwatoa mwaka jana katikati. So mwaka huu mzima watoto wangu wamesoma Kayumba.

1. Kwa mwaka huu mzima pamoja na kumalizia kibanda changu na kununua kiwanja kingine,nimeweza kuhifadhi shilingi milioni 8 na uchafu.


2. Hili limewezekana kwa sababu nimewatoa watoto wangu shule ya English Medium.

Nilikuwa nasomesha watoto wa3. Mtoto mmoja kwa mwaka ada tu ni milioni mbili, bado hajaweka usafiri na vikorokocho vingine tuseme ukihesabu na hivyo inakuwa milioni 3 na ushee.

So kwa watoto watatu maana yake ningekuwa nimetoa milioni kumi halafu pia nisingekuwa na akiba yani sasa hivi ningekuwa naumiza kichwa ntapata wapi hela za kuwalia wanangu.

But :

1. Nimehamia kwangu. Watoto wangu wanaishi nyumbani kwababa yao. Nisinge wahamisha hadi muda huu ningekuwa sijajenga wala nisinge kuwa na kiwanja cha ziada wala hiyo milioni nane.

2. Nina kimilioni nane changu ambacho kufikia mwakani mwezi wa kumi na.mbili kwa mipango niliyo iweka itakuwa imezalisha mara kumi yake.

3. Watoto wangu wanasoma shule kifalme. Wanaenda kwa miguu umbali wa kama dakika kumi. Wanakula vizuri, wanalala pazuri, wanavaa vizuri, shuleni wana sare pea tano tano viatu pea tano tano mabegi pea 3 tatu kila mmoja.


Nawasimamia vizuri.

Wanafanya vizuri darasani.

Nimewawekea programme za kitaaluma : home tuition; English, Hesabu na Sayansi plus programme za kitaaluma kupitia kwenye Tv ya nchi 40+ ambayo pengine nisinge weza kuinunua kama wangesoma shule ya Em coz hela yote ingeishia kwenye ada.


Asante sana Likud.

Watanzania wenzangu wenye kipato cha kawaida fikirieni mara mbili. Wacheni kujistress na ada kwenye shule za EM wakati uwezo wenu ni wa kuunga unga.

Kusomea EM at least uwe na networth ya kuanzia walau milioni 150 plus.
Hesabu zinakataa. Watoto watatu kwa mwaka milioni 9, sasa wewe umewatoa katikati ya mwaka ina maana ela ambayo ulipaswa kusave ni milioni nne na nusu.
Tuseme kweli umesave ya mwaka mzima. Yani milioni 9 ndiyo ikufanye ujenge, ununue kiwanja, na uwe na saving ya milioni 8.
Wewe ulikuwa hujafanya hayo yote si kwa sababu ya watoto kusoma english medium ila kwa uzembe wako tu.
 
Hesabu zinakataa. Watoto watatu kwa mwaka milioni 9, sasa wewe umewatoa katikati ya mwaka ina maana ela ambayo ulipaswa kusave ni milioni nne na nusu.
Tuseme kweli umesave ya mwaka mzima. Yani milioni 9 ndiyo ikufanye ujenge, ununue kiwanja, na uwe na saving ya milioni 9.
Wewe ulikuwa hujafanya hayo yote si kwa sababu ya watoto kusoma english medium ila kwa uzembe wako tu.
Hana Akili.
 
Kuna exposure kubwa sana English medium ambayo ni standard,mtoto anakua ktk Dunia ya kwanza ktk utambuzi WA mambo.
Tumekutana nao chuo,wamegusa kidogo TU ma-solid work na wengine ma-platform makubwa ya kibiashara wakati sisi tunahangaika na introduction to computer,Wao wanapiga project za mamilioni.

Ushauri,jikune unapoweza ila kama utapamudu EM mpeleke,hizi kayumba za sasa si zile za miaka ya 2005 kurudi chini,Watoto wanatoka mazezeta sana.
Bora akajifunze hata kuchora huko EM awe kua artist au architect wa mchongo badae apigepige hela kabla watu hawajasanuka
 
Nilifuata ushauri wa Likud Nina watoa watoto wangu shule ya English Mediums.

Niliwatoa mwaka jana katikati. So mwaka huu mzima watoto wangu wamesoma Kayumba.

1. Kwa mwaka huu mzima pamoja na kumalizia kibanda changu na kununua kiwanja kingine,nimeweza kuhifadhi shilingi milioni 8 na uchafu.


2. Hili limewezekana kwa sababu nimewatoa watoto wangu shule ya English Medium.

Nilikuwa nasomesha watoto wa3. Mtoto mmoja kwa mwaka ada tu ni milioni mbili, bado hajaweka usafiri na vikorokocho vingine tuseme ukihesabu na hivyo inakuwa milioni 3 na ushee.

So kwa watoto watatu maana yake ningekuwa nimetoa milioni kumi halafu pia nisingekuwa na akiba yani sasa hivi ningekuwa naumiza kichwa ntapata wapi hela za kuwalia wanangu.

But :

1. Nimehamia kwangu. Watoto wangu wanaishi nyumbani kwababa yao. Nisinge wahamisha hadi muda huu ningekuwa sijajenga wala nisinge kuwa na kiwanja cha ziada wala hiyo milioni nane.

2. Nina kimilioni nane changu ambacho kufikia mwakani mwezi wa kumi na.mbili kwa mipango niliyo iweka itakuwa imezalisha mara kumi yake.

3. Watoto wangu wanasoma shule kifalme. Wanaenda kwa miguu umbali wa kama dakika kumi. Wanakula vizuri, wanalala pazuri, wanavaa vizuri, shuleni wana sare pea tano tano viatu pea tano tano mabegi pea 3 tatu kila mmoja.


Nawasimamia vizuri.

Wanafanya vizuri darasani.

Nimewawekea programme za kitaaluma : home tuition; English, Hesabu na Sayansi plus programme za kitaaluma kupitia kwenye Tv ya nchi 40+ ambayo pengine nisinge weza kuinunua kama wangesoma shule ya Em coz hela yote ingeishia kwenye ada.


Asante sana Likud.

Watanzania wenzangu wenye kipato cha kawaida fikirieni mara mbili. Wacheni kujistress na ada kwenye shule za EM wakati uwezo wenu ni wa kuunga unga.

Kusomea EM at least uwe na networth ya kuanzia walau milioni 150 plus.
Kuzaa watoto bongo ni kuwa mradi wa wawatu
 
Mkuu cha kuzingatia ni tuition tu,tafuta mwalimu mmoja ambae ni kichwa kwenye english na hesabu,awe anawabrush kila siku hata kwa masaa mawili tu,ukimpa laki kwa mwezi hawez ikataa
 
Kwahiyo pesa ya ada ya watoto watatu kwa mwaka mmoja ndio umejengea na kufanya yote hayo? Au sijaelewa?

Mtoto mmoja umesema ada 2ml ×3 equals to 6ml per year!

Hapa umewezaje kusave mil8 na kujenga juu hebu fafanua kidogo
 
Unless hiyo kayumba unayosomesha wanao iwe ni english medium, uaamuzi wako utakuja kukugharimu mbele ya safari, kiswahili kama lugha ya kufundishia kinadumaza sana uelewa wa watoto wetu maana vitu bingi vinavyofungua upeo vipo katika lugha ya kiingereza.
 
Watoto wa English Medium nawakubali kwenye kujieleza! Vichwa viko vizuri! Hivyo kila mtu aamue anataka watoto wake waweje!
 
Unless hiyo kayumba unayosomesha wanao iwe ni english medium, uaamuzi wako utakuja kukugharimu mbele ya safari, kiswahili kama lugha ya kufundishia kinadumaza sana uelewa wa watoto wetu maana vitu bingi vinavyofungua upeo vipo katika lugha ya kiingereza.
Kwani Kayumba hawasomi English? Sekondary hadi chuo wanajifunza kwa kiingereza hii point yako haina mashiko
 
Back
Top Bottom