Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Nilibadilisha gia angani. Huhitaji kuwa na PhD kuelewa hilo. Nikudanganye ili iweje?
 
Nilibadilisha gia angani. Huhitaji kuwa na PhD kuelewa hilo. Nikudanganye ili iweje?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Watoto wa kike siku zote huwaga wanawaza kudanganywa tu. Sasa umdanganye mtu usie mjua ili iweje.
 
There u are bro
Kitu kimoja ambacho vijana wengi hawakijui kuhusu tofauti za hizi shule ni hiki; saint Kayumba watoto/wanafunzi wana hustle sana kupata matokeo while wale wa Saint watakatifu wanayafuniwa almost everything, wanasaidiwa sana kusoviwa past papers na other question papers; wa Saint Kayumba kwanza hizo past papers ni juhudi zao binafsi, wanatafuta either wanafunzi wa zamani au hata sisi wazazi wao kutafuta majibu ya maswali yaliowashinda ndio maana huko vyuoni ambako hakuna teachings instead walimu wanafanya lecture mengine unakwenda kutafuta mwenyewe, unakuta hawa saint Kayumba ndio wanasumbua. Tazama matokeo ya hizo saints Watakatifu kwenye NECTA both primary schools to A level, matokeo yao huaga yatufanya sisi baba zao tufikirie labda hatukua na akili kama wao, unakuta form 4 point 7 za kumwaga, A level point 3 za kumwaga, vyuoni huko hawana miujiza kabisa; wa kawaida sana. Why? Kule walikua wanatafuniwa, vyuoni ni hustles, hustle ni maisha ya kawaida kwa watoto wa Saint Kayumba. Nina mashaka hata kwenye maisha ya kawaida, sidhani kama wanqeza ku hustle. Kingine cha muhimu sana (hapa naongea kama mzazi ninae elekea kua babu). Watoto wengi wanao soma hizi EM wengi wao hata kupika na kufua nguo zao wenyewe, imagine hadi nguo zao za ndani hawawezi kujifulia, usafi wa nyumba as well. Tuweni makini, wakirudi nyumbani tuhakikishe wanafanya shughuli ndogo ndogo, tusije kuwaandaa watoto wa wengine (house girls) kuja kua wazazi bora halafu watoto wakaja kushindwa. Tuwe makini
 
Labda Kama mtu hana uwezo wa kulipa ada za private schools.
Kingereza cha wanafunzi wengi waliosoma shule za serikali huwa sio kizuri.

Kingereza ni lugha ya dunia na kinafungua milango ya fursa nyingi (hasa za ughaibuni).

Au nimeandika uongo wakuu.
Watafutie English programmes, maana hata hizi private English Yao Tia maji Tia maji
 
Ushauri wako uliutoa tarehe hii


Yeye akaja hamisha watoto wake na ku save hiyo pesa tarehe hii... Yaani ndani ya miezi isiyozidi mitatu? Jamani mi ni mgumu kuelewa kiasi hiki?
 
Aya sasa, wakubwa zao wa sekondari ndio wameambulia hizi sifuri na four kwenye matokeo ya jana. Watatu wenye III si ajabu wakatupiwa majini
Sijui bado mtapeleka watoto wenu kwenye shule zilizokata tamaa au mtawapeleka wapate elimu ya kueleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…