Malimi Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,287
- 2,743
Mwenye C na mwenye A wote mwakani wanakutana kidato cha kwanza.shule za Serikali zina ma C ya kutosha
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye C na mwenye A wote mwakani wanakutana kidato cha kwanza.shule za Serikali zina ma C ya kutosha
🤣🤣🤣🤣Mwenye C na mwenye A wote mwakani wanakutana kidato cha kwanza.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
C ya halali ni bora kuliko A ya kimagumashiMwenye C na mwenye A wote mwakani wanakutana kidato cha kwanza.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tulipe milioni 6 kwa ajili ya kingereza 😂😂😂😂Labda Kama mtu hana uwezo wa kulipa ada za private schools.
Kingereza cha wanafunzi wengi waliosoma shule za serikali huwa sio kizuri.
Kingereza ni lugha ya dunia na kinafungua milango ya fursa nyingi (hasa za ughaibuni).
Au nimeandika uongo wakuu.
Kabisa mkuu na wazazi wanapambana kusomesha private kisa tu watoto waongee kiingereza. Maskini, wangekuwa wanajua EMS nyingi watoto wanamaliza contents kichwani ni zero kabisa.C ya halali ni bora kuliko A ya kimagumashi
Unalipa tu kama una uwezo, mana hujui mtoto wako atakutana na fursa gani huko mbeleni.Kwahiyo tulipe milioni 6 kwa ajili ya kingereza 😂😂😂😂
Tanzania ukiongea kiingereza safi wewe una akili kuliko mzungu mwenyewe kwahiyo wazazi tuendelee kununua vingereza kwa mamilioni.Kwahiyo tulipe milioni 6 kwa ajili ya kingereza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni braza moja kati ya wasomi wa kitaani kwetu. He was born in 1980. He is 5 years older than me. Darasani alikuwa very smart. Ni wale the cream wa Azania wa Enzi hizo.
To cut story short. Jamaa alikuwa mtumwa mwaminifu wa Shule za Ems. Amepunwa ile kinoma Noma. Kwanza Watoto wawili wa kwanza . Hawa aliendelea kupunwa hadi seco kawapeleka shule wanalipa ada tu milioni 6. Dogo wa kiume kamaliza form four kagoma kwenda Advance kasema anataka kwenda college. Kozi Aliyo ichagua sasa " PROCUREMENT ". Ule utoto aliokuwa anamwambia baba ake alipokuwa primary " Daddy I want to be a pilot, lawyer, Doctor or Engineer blah blah blah" ukawa ume evaporate.
Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.
Mwaka mmoja baadae akataka nimtafutie mteja amuuzie kiwanja chake kingine alipe ada za watoto.
Nikamkalisha chini nikampa somo kuhusu shule za Kayumba. Nikamwambia warudishe wanao Kayumba. Watoto watatu sio poa. Mapacha wawili wa kike plus mdogo wa mwisho, kwa kipato chako sio kweli bro. Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.
Toa watoto wako Em walete Kayumba. Mbona Mimi nimewatoa na wako poa tu.
Jamaa akawa inspired na ushauri wangu. Akawatoa watoto wake wote watatu Ems akawaleta Kayumba. Hao mapacha wawili ndio wamefaulu wamepata A zote na mdogo wao anafanya vizuri sana shuleni.
Jamaa kuandika gazeti refu sana ananishukuru mdogo wake kwa ushauri ambao pia umemsaidia kusave pesa na kuinvest kwenye mambo mengine.
Comments za wadau sasa. Kuna comments za watu kama sita ambao nao pia waliwatoa watoto wao Ems wakawaleta Kayumba. Wadau hao wanasema walikuwa inspired na Mimi. Baada ya kuona hadi Mimi nimewarudisha watoto wangu Kayumba. ( Aina ya maisha ninayo ishi na vitu ninavyo vimiliki ambavyo watu wa mtaani kwetu wanavijua, wanaona watoto wangu hawastahili kusoma Kayumba. Mimi kuwapeleka watoto wangu Kayumba ni jambo linalo tengeneza sentensi " kama Likud kawatoa watoto wake Kayumba Mimi nani)
Wengi walio watoa watoto wao Ems na kuwaleta Kayumba wanashukuru sana na wanajilaumu kwanini hawakufanya hivyo mapema.
Hata wewe mzazi unae jistress kulipia mamilioni kwenye shule za Ems wacha mara moja. Haraka sana kimbia kawatoe watoto wako EMS walete Kayumba. Huna sababu yoyote ile ya kujistress kulipa mamilioni huko EMs . N real sense,Shule za Ems hazina umuhimu wala UPEKEE wa aina yoyote ile. Umuhimu na upekee huo umetengenezwa na Wamiliki wa shule za Ems ili waendelee kukupuna.
Mtu muhimu kuliko wote kwenye shule hizo ni wewe mzazi kwa sababu wewe ndo unaelipa ada na ndio sababu kuu kwanini mmimiki kaanzisha shule hiyo.
Kilaza atasema " Likud huna hela "
Situmii hela hovyo kwa sababu ninazo.
Enyi wazazi ambao watoto wenu wamefanya vizuri kwenye shule za Kayumba enyi wazazi ambao mliwatoa watoto wenu Ems na kuwaleta Kayumba na wamefanya vizuri,acheni ubinafsi. Hakikisheni mnashare hizo information kwa watu wengi iwezekanavyo ili kuwatoa usingizini wazazi ambao bado wamelala. Wazazi ambao wana jistress kulipa mamilioni kwenye shule za Ems
Aisee 🤔Ni kweli shule za private ni hard na za kayumba ni hard so choose your hard . Uncle alipeleka wanae wote private ila mpaka sasa wamempa maumivi million na ushenzi mmoja alipofika six kaolewa na mzungu, mwingine kaenda kwa bwana , mwingine kaenda nae hivyo last kapull off wote pesa zimepotea na hana kitu
Egnorance?If you think education is expensive try egnorance.
IgnoranceIf you think education is expensive try egnorance.
Na kibaya zaidi wakifika chuo wote watasoma hizo hizo traditional course ualimu,udaktari,Sheria,famasia etc na wote watakuja kugombania ajira za mamaMwenye C na mwenye A wote mwakani wanakutana kidato cha kwanza.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app