Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Ni kupoteza pesa tu, wanaosoma kwenye hizo shule hawana ubunifu wowote, ni sawa na kuku broiler vs kuku wa kienyeji.

Kama pesa ipo, peleka mtoto kayumba mpaka kidato cha nne, baada ya hapo kamlipie kozi ya urubani na nyinginezo unazoona zinafaa; lakini kutumia gharama kubwa kwa ajili ya kwenda kujifunza a for apple ni kupoteza pesa.​
100% Fact.
 
Nimesoma shule za serikali tupu, tena za viwango vya chini.
Nimekutana na watu wamesoma shule tofauti wengine seminary, wengine private, wengine kayumba wengine shule za serikali za vipaji. Nimechagua wanangu nikijaaliwa kuwa nao watasoma private.

Classmates wangu na collegemates wangu waliofanikiwa ni waliotoka private schools zaidi.
Mtu ametokea shule aliyokuwa anabeba mavi ya ng'ombe kupanda migomba ya mwalimu awe na future career sawasawa na mtu alikuwa anapelekwa tour kutembelea airport control tower au engine room ya meli?

Hunidanganyi kitu nimeona kwa experience mwenyewe. Kama vipi twende shule ya msingi Mchikichini nikuonyeshe sehemu ya mapumziko ya wanafunzi ambapo wana-share na wavuta bangi wa mabondeni kule.
 
Ni kupoteza pesa tu, wanaosoma kwenye hizo shule hawana ubunifu wowote, ni sawa na kuku broiler vs kuku wa kienyeji.

Kama pesa ipo, peleka mtoto kayumba mpaka kidato cha nne, baada ya hapo kamlipie kozi ya urubani na nyinginezo unazoona zinafaa; lakini kutumia gharama kubwa kwa ajili ya kwenda kujifunza a for apple ni kupoteza pesa.​
A for Apple.🤣🤣🤣

Mzazi anafurahia akiona mtoto wake anaita" Dad and Mom" " I want to be an Engineer" or a pilot"

Watanzania wana vituko kweli.
 
Nimesoma shule za serikali tupu, tena za viwango vya chini.
Nimekutana na watu wamesoma shule tofauti wengine seminary, wengine private, wengine kayumba wengine shule za serikali za vipaji. Nimechagua wanangu nikijaaliwa kuwa nao watasoma private.

Classmates wangu na collegemates wangu waliofanikiwa ni waliotoka private schools zaidi.
Mtu ametokea shule aliyokuwa anabeba mavi ya ng'ombe kupanda migomba ya mwalimu awe na future career sawasawa na mtu alikuwa anapelekwa tour kutembelea airport control tower au engine room ya meli?

Hunidanganyi kitu nimeona kwa experience mwenyewe. Kama vipi twende shule ya msingi Mchikichini nikuonyeshe sehemu ya mapumziko ya wanafunzi ambapo wana-share na wavuta bangi wa mabondeni kule.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

Big up
 
Ni kweli shule za private ni hard na za kayumba ni hard so choose your hard . Uncle alipeleka wanae wote private ila mpaka sasa wamempa maumivi million na ushenzi mmoja alipofika six kaolewa na mzungu, mwingine kaenda kwa bwana , mwingine kaenda nae hivyo last kapull off wote pesa zimepotea na hana kitu
It's u'r choice.
Choose wisely.
 
Likud umekuwa ukiandika sana kuhusu hili. Uzi wako wa kwanza kabisa kuhusu swala hili nilikuwa miongoni mwa wasomaji wa mwanzo kabisa.

Pia katika muendelezo nimekuwa nakufuatilia, binafsi ninakuelewa vizuri sana ingawa kila unapojaribu kuli address unakuwa too general na hivyo kuimba na kucheza nje ya beat, na mimi nabaki kusoma comments vile mnashikana mashati na kupigana ngwala na wachangiaji.

Tatizo Una address ukiwa na machungu baada ya kuumzwa huko EMS, unasahau hata huko Kayumba kuna watu wameumizwa pia, hivyo ukitumia hisia na experience yako wakati wenzako pia wana za kwao, usitaraji kuwepo na muafaka.
 
Za kuambiwa, CHANGANYA na zako!
Kama gearbox ni mbovu gari haitaweza kuondoka hata hatua moja. Weka gearbox ya EM kisha ukifika kilometa kadhaa weka gearbox yako ya Kayumba gari litaondoka vizuri kwani vifaa vingine vitakuwa vinafanya kazi ipasavyo. Wamefanya vizuri kwasababu walipata msingi bora kutoka EMs.
 
Kama gearbox ni mbovu gari haitaweza kuondoka hata hatua moja. Weka gearbox ya EM kisha ukifika kilometa kadhaa weka gearbox yako ya Kayumba gari litaondoka vizuri kwani vifaa vingine vitakuwa vinafanya kazi ipasavyo. Wamefanya vizuri kwasababu walipata msingi bora kutoka EMs.
Sio kweli
 
Ushauri wangu kwa wazazi; mtoto akiwa Primary School asome kayumba alafu akienda form one mpaka form four asome shule ya Private inayoeleweka matokeo yake then form five kama atasoma PCM PCB PGM aende private ila kama atasoma kombi za arts aende government
 
Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.
Anauza kiwanja cha Urithi ili akalipie English Medium School?

Haoni kama anajiforce na uwezo huo hana?

I can asure You hakuna Mtu anatoa pesa mfukoni mwake akaenda juzitupa huko Expensive schools.

Mfano halisi nimesoma na Feza chool boys and girls, Marian girls and the Likes.......majority ni hawa wala pesa zetu za Kodi.

Sasa kama wewe ni kajamba nani ukaiga Utakufa kwa stress na mikopo.

Mwisho wa siku ingawa sio wote all of the graduates has nothing more to show that benefits and value the money spent.

Wakimaliza Vyuo wote tunazunguka na Bahasha. Zile wanazosema sijui exposure na connection is just a Myth.

Kuna watu wataniambia nina Wivu au Sina hela😅😅
 
My friend umeongea vizuri, Ila tatizo shule za kayumba hazina kiingereza kizuri, kiingereza ni kiswahili Cha Dunia, mafanikio yako kwenye connection na Dunia, connection na Dunia inahitaji ufasaha wa lugha ya mawasiliano, kwa hiyo issue siyo C au A ya ukweli au ya magumashi. Issue ni presentation ya hizo objective zako kupitia kiswahili Cha Dunia kwa wenye hela, japo Sina hela , lakini kwa kulitambua Hilo natamani sana kupeleka mtoto EM ili aka adapt kwa ufasaha lugha ya Dunia, maisha yako Duniani ukijiattach na Dunia
 
Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.
Tena Nursery na Primary haina impact kama watu wanavyodhani its just a bussness like Other bussness.

Mtoto akimaliza Primary hakuna value anaongeza kwenye maisha yake zaidi ya kuongea kingereza sasa kingereza kinaleta ugali?

Atleast Secondary maana professional yoyote inaanza na Secondary Certificates.
 
My friend umeongea vizuri, Ila tatizo shule za kayumba hazina kiingereza kizuri, kiingereza ni kiswahili Cha Dunia, mafanikio yako kwenye connection na Dunia, connection na Dunia inahitaji ufasaha wa lugha ya mawasiliano, kwa hiyo issue siyo C au A ya ukweli au ya magumashi. Issue ni presentation ya hizo objective zako kupitia kiswahili Cha Dunia kwa wenye hela, japo Sina hela , lakini kwa kulitambua Hilo natamani sana kupeleka mtoto EM ili aka adapt kwa ufasaha lugha ya Dunia, maisha yako Duniani ukijiattach na Dunia
Wewe pia ni mwathrika wa hizi misconception.

Wachina, wafaransa, Warusi, hawajui hicho kinachoitwa Kingereza na utashangaa wanavyotoboa duniani.

Kingereza ni Lugha tu haipaswi kukucost mstakabali wako wa maisha mengine.
 
Ushauri wangu kwa wazazi; mtoto akiwa Primary School asome kayumba alafu akienda form one mpaka form four asome shule ya Private inayoeleweka matokeo yake then form five kama atasoma PCM PCB PGM aende private ila kama atasoma kombi za arts aende government
PGM,PCM,PCB,kwa advance shule nzuri kwa level hii na kombi hizo ni za SERIKALI,fanya research utaniambia
 
Ushauri wangu kwa wazazi; mtoto akiwa Primary School asome kayumba alafu akienda form one mpaka form four asome shule ya Private inayoeleweka matokeo yake then form five kama atasoma PCM PCB PGM aende private ila kama atasoma kombi za arts aende government
Hata mimi nilichukua uamzi huu. Masela wangu wananipongeza kila siku jinsi nilivyowazidi kete.

Unatema mshahara wako wote kulipia Nursery utakuwa huna akili.

Wacha walamba asali wafanye na kama una mpunga wa kutosha sawa. Ila kama unauza viwanja vya urithi na kuingia mikopo wewe ni Limbukeni tu.
 
Back
Top Bottom