Wafaransa,wachina etl siyo levels zetu ,wao wanaindustries na commodities za kunadi lugha zao na bidhaa zao,( complimentary,joint demand,composite demand)iwe isiwe lazima uhitaji commodity ya huyo mchina,mfaransa nk,automatically ili uwe efficient lazima ujifunze lugha yake,kinyume na sisi watz,tuna export commodity ipi ya kuiattach na kiswahili ili kusudi hao wachina,wafaransa nk waone umuhimu wa kukipenda kiswahili,kimsingi mtoto ukimnyima lugha ya Dunia,umemtengenezea ukuta,wa kuzunguka hapa hapa nchini