Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
IgnoranceIf you think education is expensive try egnorance.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IgnoranceIf you think education is expensive try egnorance.
Hizo ni shule teule zinapokea watoto kutoka dar nzima ila mtoto lazima awe na wastani wa AWanapokea watoto wa kata za Kariakoo tu. Wanapokea A na B na wenye mchanganyiko wa A B na C pia wanapokelewa.
Sasa kingereza wewe huwezi...mfundisha mwanao kweli,au ndo atakosa mahala pa kupractiseLabda Kama mtu hana uwezo wa kulipa ada za private schools.
Kingereza cha wanafunzi wengi waliosoma shule za serikali huwa sio kizuri.
Kingereza ni lugha ya dunia na kinafungua milango ya fursa nyingi (hasa za ughaibuni).
Au nimeandika uongo wakuu.
Kusoma shule ya private sio guarantee kwamba utajua fluent english. Kuna watu tumesoma nao advance, chuo na wamesoma mashule makubwa ila english yao jau. Kujua fluent english ni kichwa cha mtu. Wengi waliosoma hz private wana english ya kuandika. Ila ya kuongea kuna baadhi yao ni miyayusho.Labda Kama mtu hana uwezo wa kulipa ada za private schools.
Kingereza cha wanafunzi wengi waliosoma shule za serikali huwa sio kizuri.
Kingereza ni lugha ya dunia na kinafungua milango ya fursa nyingi (hasa za ughaibuni).
Au nimeandika uongo wakuu.
100% Fact.Kusoma shule ya private sio guarantee kwamba utajua fluent english. Kuna watu tumesoma nao advance, chuo na wamesoma mashule makubwa ila english yao jau. Kujua fluent english ni kichwa cha mtu. Wengi waliosoma hz private wana english ya kuandika. Ila ya kuongea kuna baadhi yao ni miyayusho.
Anabisha etiHizo ni shule teule zinapokea watoto kutoka dar nzima ila mtoto lazima awe na wastani wa A
Kwasababu Mimi mdau wa elimu sitachangia chochote. Wacha nisome moments, ila ushauri wangu kwa wazazi wenzangu, "akili za kuambiwa.......!"Ni braza moja kati ya wasomi wa kitaani kwetu. He was born in 1980. He is 5 years older than me. Darasani alikuwa very smart. Ni wale the cream wa Azania wa Enzi hizo.
To cut story short. Jamaa alikuwa mtumwa mwaminifu wa Shule za Ems. Amepunwa ile kinoma Noma. Kwanza Watoto wawili wa kwanza . Hawa aliendelea kupunwa hadi seco kawapeleka shule wanalipa ada tu milioni 6. Dogo wa kiume kamaliza form four kagoma kwenda Advance kasema anataka kwenda college. Kozi Aliyo ichagua sasa " PROCUREMENT ". Ule utoto aliokuwa anamwambia baba ake alipokuwa primary " Daddy I want to be a pilot, lawyer, Doctor or Engineer blah blah blah" ukawa ume evaporate.
Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.
Mwaka mmoja baadae akataka nimtafutie mteja amuuzie kiwanja chake kingine alipe ada za watoto.
Nikamkalisha chini nikampa somo kuhusu shule za Kayumba. Nikamwambia warudishe wanao Kayumba. Watoto watatu sio poa. Mapacha wawili wa kike plus mdogo wa mwisho, kwa kipato chako sio kweli bro. Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.
Toa watoto wako Em walete Kayumba. Mbona Mimi nimewatoa na wako poa tu.
Jamaa akawa inspired na ushauri wangu. Akawatoa watoto wake wote watatu Ems akawaleta Kayumba. Hao mapacha wawili ndio wamefaulu wamepata A zote na mdogo wao anafanya vizuri sana shuleni.
Jamaa kuandika gazeti refu sana ananishukuru mdogo wake kwa ushauri ambao pia umemsaidia kusave pesa na kuinvest kwenye mambo mengine.
Comments za wadau sasa. Kuna comments za watu kama sita ambao nao pia waliwatoa watoto wao Ems wakawaleta Kayumba. Wadau hao wanasema walikuwa inspired na Mimi. Baada ya kuona hadi Mimi nimewarudisha watoto wangu Kayumba. ( Aina ya maisha ninayo ishi na vitu ninavyo vimiliki ambavyo watu wa mtaani kwetu wanavijua, wanaona watoto wangu hawastahili kusoma Kayumba. Mimi kuwapeleka watoto wangu Kayumba ni jambo linalo tengeneza sentensi " kama Likud kawatoa watoto wake Kayumba Mimi nani)
Wengi walio watoa watoto wao Ems na kuwaleta Kayumba wanashukuru sana na wanajilaumu kwanini hawakufanya hivyo mapema.
Hata wewe mzazi unae jistress kulipia mamilioni kwenye shule za Ems wacha mara moja. Haraka sana kimbia kawatoe watoto wako EMS walete Kayumba. Huna sababu yoyote ile ya kujistress kulipa mamilioni huko EMs . N real sense,Shule za Ems hazina umuhimu wala UPEKEE wa aina yoyote ile. Umuhimu na upekee huo umetengenezwa na Wamiliki wa shule za Ems ili waendelee kukupuna.
Mtu muhimu kuliko wote kwenye shule hizo ni wewe mzazi kwa sababu wewe ndo unaelipa ada na ndio sababu kuu kwanini mmimiki kaanzisha shule hiyo.
Kilaza atasema " Likud huna hela "
Situmii hela hovyo kwa sababu ninazo.
Enyi wazazi ambao watoto wenu wamefanya vizuri kwenye shule za Kayumba enyi wazazi ambao mliwatoa watoto wenu Ems na kuwaleta Kayumba na wamefanya vizuri,acheni ubinafsi. Hakikisheni mnashare hizo information kwa watu wengi iwezekanavyo ili kuwatoa usingizini wazazi ambao bado wamelala. Wazazi ambao wana jistress kulipa mamilioni kwenye shule za Ems









Wengi wao sasa hivi wako na presha ya kulipa ada mwezi wa kwanza, sisi ambao tumepeleka watoto wetu kayumba tunafikiria namna ya kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka
Hawajui wana wa abuse watoto wao. Hakuna kitu kinacho muumiza mtoto kama kuona mzazi wake ana stress.
Acheni ujingaUnalipa tu kama una uwezo, mana hujui mtoto wako atakutana na fursa gani huko mbeleni.
Ni kweli kabisa mkuu.Wafaransa,wachina etl siyo levels zetu ,wao wanaindustries na commodities za kunadi lugha zao na bidhaa zao,( complimentary,joint demand,composite demand)iwe isiwe lazima uhitaji commodity ya huyo mchina,mfaransa nk,automatically ili uwe efficient lazima ujifunze lugha yake,kinyume na sisi watz,tuna export commodity ipi ya kuiattach na kiswahili ili kusudi hao wachina,wafaransa nk waone umuhimu wa kukipenda kiswahili,kimsingi mtoto ukimnyima lugha ya Dunia,umemtengenezea ukuta,wa kuzunguka hapa hapa nchini
Kuna swali hapo umeulizwa, kama huwezi kulipa 2.5m, je, utaweza kulipa ada ya 15m ya urubani?Hizi elimu za ada kubwa ni biashara tu, unavyolipa ada kubwa ndivyo mishahara ya walimu wao inazidi kunona, mwisho wa siku wanafanya mtihani wa taifa mmoja, wanaenda kukutana pale udom n.k
Kwa sasa hivi unachokifanya, ni sawa na soda ya 500 inayouzwa kwa mangi, uipate soda hiyo hiyo kwenye hoteli kubwa kwa shilingi 5000.Kuna swali hapo umeulizwa, kama huwezi kulipa 2.5m, je, utaweza kulipa ada ya 15m ya urubani?
Kwahiyo tulipe milioni 6 kwa ajili ya kingereza 😂😂😂😂