Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Ni braza moja kati ya wasomi wa kitaani kwetu. He was born in 1980. He is 5 years older than me. Darasani alikuwa very smart. Ni wale the cream wa Azania wa Enzi hizo.

To cut story short. Jamaa alikuwa mtumwa mwaminifu wa Shule za Ems. Amepunwa ile kinoma Noma. Kwanza Watoto wawili wa kwanza . Hawa aliendelea kupunwa hadi seco kawapeleka shule wanalipa ada tu milioni 6. Dogo wa kiume kamaliza form four kagoma kwenda Advance kasema anataka kwenda college. Kozi Aliyo ichagua sasa " PROCUREMENT ". Ule utoto aliokuwa anamwambia baba ake alipokuwa primary " Daddy I want to be a pilot, lawyer, Doctor or Engineer blah blah blah" ukawa ume evaporate.

Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.

Mwaka mmoja baadae akataka nimtafutie mteja amuuzie kiwanja chake kingine alipe ada za watoto.

Nikamkalisha chini nikampa somo kuhusu shule za Kayumba. Nikamwambia warudishe wanao Kayumba. Watoto watatu sio poa. Mapacha wawili wa kike plus mdogo wa mwisho, kwa kipato chako sio kweli bro. Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.

Toa watoto wako Em walete Kayumba. Mbona Mimi nimewatoa na wako poa tu.

Jamaa akawa inspired na ushauri wangu. Akawatoa watoto wake wote watatu Ems akawaleta Kayumba. Hao mapacha wawili ndio wamefaulu wamepata A zote na mdogo wao anafanya vizuri sana shuleni.


Jamaa kuandika gazeti refu sana ananishukuru mdogo wake kwa ushauri ambao pia umemsaidia kusave pesa na kuinvest kwenye mambo mengine.


Comments za wadau sasa. Kuna comments za watu kama sita ambao nao pia waliwatoa watoto wao Ems wakawaleta Kayumba. Wadau hao wanasema walikuwa inspired na Mimi. Baada ya kuona hadi Mimi nimewarudisha watoto wangu Kayumba. ( Aina ya maisha ninayo ishi na vitu ninavyo vimiliki ambavyo watu wa mtaani kwetu wanavijua, wanaona watoto wangu hawastahili kusoma Kayumba. Mimi kuwapeleka watoto wangu Kayumba ni jambo linalo tengeneza sentensi " kama Likud kawatoa watoto wake Kayumba Mimi nani)

Wengi walio watoa watoto wao Ems na kuwaleta Kayumba wanashukuru sana na wanajilaumu kwanini hawakufanya hivyo mapema.

Hata wewe mzazi unae jistress kulipia mamilioni kwenye shule za Ems wacha mara moja. Haraka sana kimbia kawatoe watoto wako EMS walete Kayumba. Huna sababu yoyote ile ya kujistress kulipa mamilioni huko EMs . N real sense,Shule za Ems hazina umuhimu wala UPEKEE wa aina yoyote ile. Umuhimu na upekee huo umetengenezwa na Wamiliki wa shule za Ems ili waendelee kukupuna.

Mtu muhimu kuliko wote kwenye shule hizo ni wewe mzazi kwa sababu wewe ndo unaelipa ada na ndio sababu kuu kwanini mmimiki kaanzisha shule hiyo.


Kilaza atasema " Likud huna hela "

Situmii hela hovyo kwa sababu ninazo.

Enyi wazazi ambao watoto wenu wamefanya vizuri kwenye shule za Kayumba enyi wazazi ambao mliwatoa watoto wenu Ems na kuwaleta Kayumba na wamefanya vizuri,acheni ubinafsi. Hakikisheni mnashare hizo information kwa watu wengi iwezekanavyo ili kuwatoa usingizini wazazi ambao bado wamelala. Wazazi ambao wana jistress kulipa mamilioni kwenye shule za Ems
Asante,Mimi niliandika Uzi wa kuomba msaada jinsi ya kumtoa mtoto wangu toka shule binafsi ya sekondari kurudi ya serikali,wadau wakanijibu haiwezekani.
Mtoto yupo kidato cha kwanza
 
Kwangu mm na Jinsi navyoona Kayumba ni shule nzuri ila kuanzia Form 1 na kuendelea ni vyema ukampeleka english medium kuanzia darasa la kwanz mpka la Saba then baada ya hapo tafuta shule moja ya Serikali ya Bweni yenye manzingira Mazuri mtoto asome ila ukiangalia kwa namna moja zile shule za private zimekaaaa kiupigaji ila Kidogo English medium itamtengeneza mtoto kwenye namna Fulani Bora uwezo wake wa kuongea Kingereza na kujieleza mbeleni Coz watoto wengi Tunaosoma kayumba kuanzia msingi mpk chuo tunakosa hicho kitu lakni japokuwa uwezo wa mtoto kujielezea na kuongea kingereza utategemea na yy mwenyew ila English medium zinampa mtoto msingi Mzuri
 
ttwende taratibu likud. unasema uliwarudisha,nauliza uliwarudisha st kayumba wakitokea ems darasa la ngap? tuanzie hapo
 
Naishi na jamaa mmoja hapa ni graduate, alisoma kayumba,kaingia serikalini ,vizuri kafaulu vizuri Hadi amemaliza chuo kikuu, Yuko mtaani,Sasa akajiongeza kidogo ,akapata mtaji kidogo akafungua kampuni,katika harakati za kukuza mtaji wake,aliomba kuandikiwa project proposal/ business plan,akaomba fedha kwa investor mmoja uingereza $300,000/- investor akamkubalia lakini akamwambia kwanza wafanye zoom meeting ya mtandaoni,jamaa ni graduate lakini English speaking Yuko poor Sana ,akaanza kuhangaika kuazima mtu aseme kwa niaba ya mradi wake,shida ikaja aliyemwazima,haiwezi kuyachanganua kwa hoja Yale mahesabu yaliyo andikwa humo, kwenye proposal,ikabidi akaazime mtaalamu mwingine tu ,tena akaomba aipitie ile document kwanza,na wote Hawa aliwalipa pesa,Sasa unaweza kuona hasara ya kujifungia kayumba,inakuwa unafunga na fursa zingine za nje,hapo ndipo msemo wa Nyerere ulipo dhihirika "IF YOU THINK EDUCATION IS EXPENSIVE TRY IGNORANCE " ndugu level moja wapo ni muhimu kuibalance iwe private either primary au sekondari elewa "always cheap is bitter and bitter is cheap"
 
Ni kweli shule za private ni hard na za kayumba ni hard so choose your hard . Uncle alipeleka wanae wote private ila mpaka sasa wamempa maumivi million na ushenzi mmoja alipofika six kaolewa na mzungu, mwingine kaenda kwa bwana , mwingine kaenda nae hivyo last kapull off wote pesa zimepotea na hana kitu
Embu Mkuu Elezea vizuri kwanza
 
Angalia matokeo ya Darasa la saba fanya comparative analysis na shule za KAYUMBA.
wanaiba mitihani au kuonyeshwa majibu... kuna mdogo angu alisoma shule hizo alisema drs la 7 walionyeshwa majibu....shule moja maarufu huko himo klm...
 
Nimesoma shule za serikali tupu, tena za viwango vya chini.
Nimekutana na watu wamesoma shule tofauti wengine seminary, wengine private, wengine kayumba wengine shule za serikali za vipaji. Nimechagua wanangu nikijaaliwa kuwa nao watasoma private.

Classmates wangu na collegemates wangu waliofanikiwa ni waliotoka private schools zaidi.
Mtu ametokea shule aliyokuwa anabeba mavi ya ng'ombe kupanda migomba ya mwalimu awe na future career sawasawa na mtu alikuwa anapelekwa tour kutembelea airport control tower au engine room ya meli?

Hunidanganyi kitu nimeona kwa experience mwenyewe. Kama vipi twende shule ya msingi Mchikichini nikuonyeshe sehemu ya mapumziko ya wanafunzi ambapo wana-share na wavuta bangi wa mabondeni kule.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Wewe pia ni mwathrika wa hizi misconception.

Wachina, wafaransa, Warusi, hawajui hicho kinachoitwa Kingereza na utashangaa wanavyotoboa duniani.

Kingereza ni Lugha tu haipaswi kukucost mstakabali wako wa maisha mengine.
Wachina Wangapi Compared na Population yao ? Umewahi kufika China ukaona au ukafahamu the magnitude ya wao kutumia Kiingereza?

Wafaransa Wangapi Compared na Population yao ? Umewahi kufika France ukaona au ukafahamu the magnitude ya wao kutumia Kiingereza?

Changamoto ya mijadala mingi humu ipo more of a feelings na sio Facts

Wa china Competitors wao wa kwanza ni USA, sasa wewe unakuja unasema hawajui kiingereza na hawana mpango nacho are you serious?
 
Unatumia nguvu nyingi mkuu, pointi ni uwezo... kama huna uwezo automatically wataenda kayumba kama unao wape kile unaona vijana wako wanastahili, case closed!
 
Labda Kama mtu hana uwezo wa kulipa ada za private schools.
Kingereza cha wanafunzi wengi waliosoma shule za serikali huwa sio kizuri.

Kingereza ni lugha ya dunia na kinafungua milango ya fursa nyingi (hasa za ughaibuni).

Au nimeandika uongo wakuu.
Upo sahihi, wakwangu nilimrudisha kanumba off course amepata A tano lakini kwenye English ametepeta amepata B, infact ame lose kidogo!, naimani atakapoanza form one, ata recover tu.
 
wanaiba mitihani au kuonyeshwa majibu... kuna mdogo angu alisoma shule hizo alisema drs la 7 walionyeshwa majibu....shule moja maarufu huko himo klm...
Wanaiba mitihani nchi nzima maana yake
 
Tupate mitaala inayosaidia watoto wetu na kayumba isonge mbele,
Heri mwanangu akaazq carpentry from primary to secondary akitoka apo ni lulu sokoni kuliko miaka 11 na hakuna fani anayoijua mwisho anakuja kuhaha mtaani
 
Msichanganye mambo kuna ems na inernational schools like DiS ukiweka mwano maeneo hayo hutajuta anasoma huku anaendelezwa kipaji chake.na slyabus ya cambrigde. We unapeleka mtoto shule ya kata ems ni kata iliyochangamka in the name of kingereza.peleka watoto dis hutajuta
 
Back
Top Bottom