Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Ni braza moja kati ya wasomi wa kitaani kwetu. He was born in 1980. He is 5 years older than me. Darasani alikuwa very smart. Ni wale the cream wa Azania wa Enzi hizo.

To cut story short. Jamaa alikuwa mtumwa mwaminifu wa Shule za Ems. Amepunwa ile kinoma Noma. Kwanza Watoto wawili wa kwanza . Hawa aliendelea kupunwa hadi seco kawapeleka shule wanalipa ada tu milioni 6. Dogo wa kiume kamaliza form four kagoma kwenda Advance kasema anataka kwenda college. Kozi Aliyo ichagua sasa " PROCUREMENT ". Ule utoto aliokuwa anamwambia baba ake alipokuwa primary " Daddy I want to be a pilot, lawyer, Doctor or Engineer blah blah blah" ukawa ume evaporate.

Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.

Mwaka mmoja baadae akataka nimtafutie mteja amuuzie kiwanja chake kingine alipe ada za watoto.

Nikamkalisha chini nikampa somo kuhusu shule za Kayumba. Nikamwambia warudishe wanao Kayumba. Watoto watatu sio poa. Mapacha wawili wa kike plus mdogo wa mwisho, kwa kipato chako sio kweli bro. Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.

Toa watoto wako Em walete Kayumba. Mbona Mimi nimewatoa na wako poa tu.

Jamaa akawa inspired na ushauri wangu. Akawatoa watoto wake wote watatu Ems akawaleta Kayumba. Hao mapacha wawili ndio wamefaulu wamepata A zote na mdogo wao anafanya vizuri sana shuleni.


Jamaa kuandika gazeti refu sana ananishukuru mdogo wake kwa ushauri ambao pia umemsaidia kusave pesa na kuinvest kwenye mambo mengine.


Comments za wadau sasa. Kuna comments za watu kama sita ambao nao pia waliwatoa watoto wao Ems wakawaleta Kayumba. Wadau hao wanasema walikuwa inspired na Mimi. Baada ya kuona hadi Mimi nimewarudisha watoto wangu Kayumba. ( Aina ya maisha ninayo ishi na vitu ninavyo vimiliki ambavyo watu wa mtaani kwetu wanavijua, wanaona watoto wangu hawastahili kusoma Kayumba. Mimi kuwapeleka watoto wangu Kayumba ni jambo linalo tengeneza sentensi " kama Likud kawatoa watoto wake Kayumba Mimi nani)

Wengi walio watoa watoto wao Ems na kuwaleta Kayumba wanashukuru sana na wanajilaumu kwanini hawakufanya hivyo mapema.

Hata wewe mzazi unae jistress kulipia mamilioni kwenye shule za Ems wacha mara moja. Haraka sana kimbia kawatoe watoto wako EMS walete Kayumba. Huna sababu yoyote ile ya kujistress kulipa mamilioni huko EMs . N real sense,Shule za Ems hazina umuhimu wala UPEKEE wa aina yoyote ile. Umuhimu na upekee huo umetengenezwa na Wamiliki wa shule za Ems ili waendelee kukupuna.

Mtu muhimu kuliko wote kwenye shule hizo ni wewe mzazi kwa sababu wewe ndo unaelipa ada na ndio sababu kuu kwanini mmimiki kaanzisha shule hiyo.


Kilaza atasema " Likud huna hela "

Situmii hela hovyo kwa sababu ninazo.

Enyi wazazi ambao watoto wenu wamefanya vizuri kwenye shule za Kayumba enyi wazazi ambao mliwatoa watoto wenu Ems na kuwaleta Kayumba na wamefanya vizuri,acheni ubinafsi. Hakikisheni mnashare hizo information kwa watu wengi iwezekanavyo ili kuwatoa usingizini wazazi ambao bado wamelala. Wazazi ambao wana jistress kulipa mamilioni kwenye shule za Ems
Utoe mtoto feza, Martin Luther, baobab, FK, umpeleke kayumba! Utakuwa na kichaa, ataje hizo EM kwanza, asije kuwa wanae walikuwa, zile za, uchochoroni, za kwetu watoto wanaenda tours Nairobi, Joburg,
 
Kusoma shule ya private sio guarantee kwamba utajua fluent english. Kuna watu tumesoma nao advance, chuo na wamesoma mashule makubwa ila english yao jau. Kujua fluent english ni kichwa cha mtu. Wengi waliosoma hz private wana english ya kuandika. Ila ya kuongea kuna baadhi yao ni miyayusho.
Mazingira aliyepo mtoto ndiyo huwa yanamfanya aongee kiingereza kizuri au kibaya. Mtoto hata awe na akili kiasi gani hawezi kuongea kiingereza kizuri kama muda wote amezungukwa na marafiki wanao ongea lugha tofauti na kiingereza.

Ndiyo maana majority ya wanafunzi waliosoma shule za private wanazungumza kiingereza kizuri kuwazidi wanafunzi wengi waliotoka shule za serikali.

Afu kwenye comment yangu sikumaanisha kuwa wanafunzi wote waliotoka shule za serikali hawawezi kuzungumza kiingereza kizuri.
 
Ni braza moja kati ya wasomi wa kitaani kwetu. He was born in 1980. He is 5 years older than me. Darasani alikuwa very smart. Ni wale the cream wa Azania wa Enzi hizo.

To cut story short. Jamaa alikuwa mtumwa mwaminifu wa Shule za Ems. Amepunwa ile kinoma Noma. Kwanza Watoto wawili wa kwanza . Hawa aliendelea kupunwa hadi seco kawapeleka shule wanalipa ada tu milioni 6. Dogo wa kiume kamaliza form four kagoma kwenda Advance kasema anataka kwenda college. Kozi Aliyo ichagua sasa " PROCUREMENT ". Ule utoto aliokuwa anamwambia baba ake alipokuwa primary " Daddy I want to be a pilot, lawyer, Doctor or Engineer blah blah blah" ukawa ume evaporate.

Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.

Mwaka mmoja baadae akataka nimtafutie mteja amuuzie kiwanja chake kingine alipe ada za watoto.

Nikamkalisha chini nikampa somo kuhusu shule za Kayumba. Nikamwambia warudishe wanao Kayumba. Watoto watatu sio poa. Mapacha wawili wa kike plus mdogo wa mwisho, kwa kipato chako sio kweli bro. Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.

Toa watoto wako Em walete Kayumba. Mbona Mimi nimewatoa na wako poa tu.

Jamaa akawa inspired na ushauri wangu. Akawatoa watoto wake wote watatu Ems akawaleta Kayumba. Hao mapacha wawili ndio wamefaulu wamepata A zote na mdogo wao anafanya vizuri sana shuleni.


Jamaa kuandika gazeti refu sana ananishukuru mdogo wake kwa ushauri ambao pia umemsaidia kusave pesa na kuinvest kwenye mambo mengine.


Comments za wadau sasa. Kuna comments za watu kama sita ambao nao pia waliwatoa watoto wao Ems wakawaleta Kayumba. Wadau hao wanasema walikuwa inspired na Mimi. Baada ya kuona hadi Mimi nimewarudisha watoto wangu Kayumba. ( Aina ya maisha ninayo ishi na vitu ninavyo vimiliki ambavyo watu wa mtaani kwetu wanavijua, wanaona watoto wangu hawastahili kusoma Kayumba. Mimi kuwapeleka watoto wangu Kayumba ni jambo linalo tengeneza sentensi " kama Likud kawatoa watoto wake Kayumba Mimi nani)

Wengi walio watoa watoto wao Ems na kuwaleta Kayumba wanashukuru sana na wanajilaumu kwanini hawakufanya hivyo mapema.

Hata wewe mzazi unae jistress kulipia mamilioni kwenye shule za Ems wacha mara moja. Haraka sana kimbia kawatoe watoto wako EMS walete Kayumba. Huna sababu yoyote ile ya kujistress kulipa mamilioni huko EMs . N real sense,Shule za Ems hazina umuhimu wala UPEKEE wa aina yoyote ile. Umuhimu na upekee huo umetengenezwa na Wamiliki wa shule za Ems ili waendelee kukupuna.

Mtu muhimu kuliko wote kwenye shule hizo ni wewe mzazi kwa sababu wewe ndo unaelipa ada na ndio sababu kuu kwanini mmimiki kaanzisha shule hiyo.


Kilaza atasema " Likud huna hela "

Situmii hela hovyo kwa sababu ninazo.

Enyi wazazi ambao watoto wenu wamefanya vizuri kwenye shule za Kayumba enyi wazazi ambao mliwatoa watoto wenu Ems na kuwaleta Kayumba na wamefanya vizuri,acheni ubinafsi. Hakikisheni mnashare hizo information kwa watu wengi iwezekanavyo ili kuwatoa usingizini wazazi ambao bado wamelala. Wazazi ambao wana jistress kulipa mamilioni kwenye shule za Ems
Mimi huwa nakuelewa sana. Niliwahi kusoma ushauri wako humu mwaka juzi kama sikosei, nikaanza kuufanyika kazi kwa kumplekea kijana aliyekuwa aende Form Private moja ya ghali sana kule Moshi nikampeleka Dodoma Secondary. Dogo nilikaa naye chini akanielewa na ufaulu wake ni mkubwa sana. sasa hivo anaendelea na mitihani yake ya form II na ameahidi kuniletea A's 10. Huu ndo msimamo wangu kwa sasa kila anayemaliza darasa la saba safari ni kwenda shule za Serikali. Navumilia tu wamalizie madarasa yao huko EMs maana nilishajichanganya awali.

Nakazia tu kwa wadau kwamba kama kipato chako ni tia maji tia maji usijiuumize, peleka vijana Serikalini tulikosoma sisi baba zao.
 
Mimi huwa nakuelewa sana. Niliwahi kusoma ushauri wako humu mwaka juzi kama sikosei, nikaanza kuufanyika kazi kwa kumplekea kijana aliyekuwa aende Form Private moja ya ghali sana kule Moshi nikampeleka Dodoma Secondary. Dogo nilikaa naye chini akanielewa na ufaulu wake ni mkubwa sana. sasa hivo anaendelea na mitihani yake ya form II na ameahidi kuniletea A's 10. Huu ndo msimamo wangu kwa sasa kila anayemaliza darasa la saba safari ni kwenda shule za Serikali. Navumilia tu wamalizie madarasa yao huko EMs maana nilishajichanganya awali.

Nakazia tu kwa wadau kwamba kama kipato chako ni tia maji tia maji usijiuumize, peleka vijana Serikalini tulikosoma sisi baba zao.
Big up sana mkuu na hongera
 
Mkuu uliza watu wanaoenda ulaya na kupata international opportunities sio kwa sababu ya Kingereza chao.
Unajichanganya.
Prof Ussoro ulimsikia Kingereza Chake?
Professor ossolo, huyo ni mmoja na bahati yake, Mimi ninacho si kwamba kiingereza tu , Bali na fani zingine awe nazo,kwa mtoto ansyejihangaikia mwenyewe ,pamoja na fani anayo iombea ajira,lakini kwanza aweze kiingereza, interview,zoom meeting nk ,hayo yote ni mazungumzo ya ana kwa ana kwa nje,Tena siyo English tu ,ni nakifaransa pia,Sasa Kama shule za kuelimisha hiyo lugha zipo hapa bongo,kwanini mtoto umnyime hiyo fursa Kama ipo
 
Sawa kama ni hvyo basi tuwapekeke advance za government wote wa Arts na Science
PCM, PCB,PGM ni kombi za gharama Sana vifaa vyake,Sasa kwa private inampa hasara ikitokea wanatoa kombi hizo halafu asipate wanafunzi wengi wa advance, kwa hiyo utakuta private nyingi kwa advance wanafundisha ART ,sababu ni cheap ku implement kuliko sayansi ( opportunity cost), sayansi mtoto mpeleke serikalini,vinginevyo labda uwe na genuine issue ya kupeleka mtoto private kwa kombi za sayansi advance,kwa ART ni uchaguzi wako
 
Ni kweli shule za private ni hard na za kayumba ni hard so choose your hard . Uncle alipeleka wanae wote private ila mpaka sasa wamempa maumivi million na ushenzi mmoja alipofika six kaolewa na mzungu, mwingine kaenda kwa bwana , mwingine kaenda nae hivyo last kapull off wote pesa zimepotea na hana kitu
Huu ni utetezi wa kijinga, kwamba St.Kayumba itakuwa guarantee ya watoto kutoharibikiwa?
 
Ni braza moja kati ya wasomi wa kitaani kwetu. He was born in 1980. He is 5 years older than me. Darasani alikuwa very smart. Ni wale the cream wa Azania wa Enzi hizo.

To cut story short. Jamaa alikuwa mtumwa mwaminifu wa Shule za Ems. Amepunwa ile kinoma Noma. Kwanza Watoto wawili wa kwanza . Hawa aliendelea kupunwa hadi seco kawapeleka shule wanalipa ada tu milioni 6. Dogo wa kiume kamaliza form four kagoma kwenda Advance kasema anataka kwenda college. Kozi Aliyo ichagua sasa " PROCUREMENT ". Ule utoto aliokuwa anamwambia baba ake alipokuwa primary " Daddy I want to be a pilot, lawyer, Doctor or Engineer blah blah blah" ukawa ume evaporate.

Jamaa alikuwa so much dis appointed . Nakumbuka wakati wa Corona aliwahi niuzia kiwanja kwa bei ya Chanika halafu hela yote akaenda kulipa ada shuleni. Sehemu yenyewe aliyoniuzia kiwanja ni very potential area. Japo kiwanja sio chake ni cha urithi but aliniuzia kwa bei ya chini.

Mwaka mmoja baadae akataka nimtafutie mteja amuuzie kiwanja chake kingine alipe ada za watoto.

Nikamkalisha chini nikampa somo kuhusu shule za Kayumba. Nikamwambia warudishe wanao Kayumba. Watoto watatu sio poa. Mapacha wawili wa kike plus mdogo wa mwisho, kwa kipato chako sio kweli bro. Hata hivyo hakuna umuhimu wowote wa wewe kulipa hela yote hiyo kwa ajili ya Elimu ya msingi ya mtoto.

Toa watoto wako Em walete Kayumba. Mbona Mimi nimewatoa na wako poa tu.

Jamaa akawa inspired na ushauri wangu. Akawatoa watoto wake wote watatu Ems akawaleta Kayumba. Hao mapacha wawili ndio wamefaulu wamepata A zote na mdogo wao anafanya vizuri sana shuleni.


Jamaa kuandika gazeti refu sana ananishukuru mdogo wake kwa ushauri ambao pia umemsaidia kusave pesa na kuinvest kwenye mambo mengine.


Comments za wadau sasa. Kuna comments za watu kama sita ambao nao pia waliwatoa watoto wao Ems wakawaleta Kayumba. Wadau hao wanasema walikuwa inspired na Mimi. Baada ya kuona hadi Mimi nimewarudisha watoto wangu Kayumba. ( Aina ya maisha ninayo ishi na vitu ninavyo vimiliki ambavyo watu wa mtaani kwetu wanavijua, wanaona watoto wangu hawastahili kusoma Kayumba. Mimi kuwapeleka watoto wangu Kayumba ni jambo linalo tengeneza sentensi " kama Likud kawatoa watoto wake Kayumba Mimi nani)

Wengi walio watoa watoto wao Ems na kuwaleta Kayumba wanashukuru sana na wanajilaumu kwanini hawakufanya hivyo mapema.

Hata wewe mzazi unae jistress kulipia mamilioni kwenye shule za Ems wacha mara moja. Haraka sana kimbia kawatoe watoto wako EMS walete Kayumba. Huna sababu yoyote ile ya kujistress kulipa mamilioni huko EMs . N real sense,Shule za Ems hazina umuhimu wala UPEKEE wa aina yoyote ile. Umuhimu na upekee huo umetengenezwa na Wamiliki wa shule za Ems ili waendelee kukupuna.

Mtu muhimu kuliko wote kwenye shule hizo ni wewe mzazi kwa sababu wewe ndo unaelipa ada na ndio sababu kuu kwanini mmimiki kaanzisha shule hiyo.


Kilaza atasema " Likud huna hela "

Situmii hela hovyo kwa sababu ninazo.

Enyi wazazi ambao watoto wenu wamefanya vizuri kwenye shule za Kayumba enyi wazazi ambao mliwatoa watoto wenu Ems na kuwaleta Kayumba na wamefanya vizuri,acheni ubinafsi. Hakikisheni mnashare hizo information kwa watu wengi iwezekanavyo ili kuwatoa usingizini wazazi ambao bado wamelala. Wazazi ambao wana jistress kulipa mamilioni kwenye shule za Ems
Kila mtu ana preferences zake. Unachokiona kizuri mwingine anakiona kibaya na unachokiona kibaya mwingine anakiona kizuri. Kila mtu aishi maisha yake. Usiwapangie watu maisha
 
Mwenye C na mwenye A wote mwakani wanakutana kidato cha kwanza.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Wakati mwenye C yake ananitafuta kuungaunga Kiingereza nwenzake anateleza tu! Tuliyaona vyuoni jinsi mtoto ya EMs yanavyotiririka kwenye presentation! Njoo kazini sasa kwenye ma NGO makubwa makubwa jinsi ma E. Kibona yanavyotiririka na Kiingereza! Tuache kudanganyana jamani mwenye uwezo wa kulipa ada apeleke watoto wake EM! Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake!
 
Kujitesa tu yaani ELIMU YA VISHAZI HURU NA VISHAZI TEGEMEZI ikwamishe ujenzi wa nyumba zangu
 
Huu ni utetezi wa kijinga, kwamba St.Kayumba itakuwa guarantee ya watoto kutoharibikiwa?
Ujinga mtupu!

Mjukuu kwenye ukoo wa my wife mke wangu, amekimbilia kupigwa miti pamoja na kusoma St. Kayumba tangu msingi mpaka Sekondari. Kaishia form two! Siku nikikakuta mtaani lazima kalipie vile kalikula nyumbani kwangu! Nitahakikisha miguu inagusa dari pumbavu kabisa!
 
Yaani mtu uwe na pesa na watoto wametoka kwenye kiuno chako uwapeleke Kayumba??

Ni sawa na kusema kulalia mkeka/Jamvi ni sawa na kulalia godoro kwa kigezo wote mnalala na kukoroma/kuj@mb@..!!
 
Back
Top Bottom