Back to Kayumba Schools Campaign (Making Kayumba Schools Great Again) MAKASGA Camapign

Kimsingi Kumpeleka Mtoto Shule ya Kulipia au ya Serikali kunatakiwa kuzingatia mambo matatu:

Kwanza Kiwango chako cha Kipato
Uwezo wa Mtoto Darasani
Kiwango Cha mzazi kielimu
Malengo ya Mzazi kwa mtoto wake
Malengo ya Mtoto
Aina na Ubora wa shule Husika
Uwezo wa mzazi kufuatilia maendeleo ya kitaaluma ya Mtoto

All in All baada ya Kuhitimu masomo Kwenye Game ya maisha huwa Rules zinakuwa zile zile.So Kabla hujamlipia mwanao Ada Milioni 50 Jiulize Hio Milioni 50 unaweza fanya nayo nini Kingine.
 
Labda Kama mtu hana uwezo wa kulipa ada za private schools.
Kingereza cha wanafunzi wengi waliosoma shule za serikali huwa sio kizuri.

Kingereza ni lugha ya dunia na kinafungua milango ya fursa nyingi (hasa za ughaibuni).

Au nimeandika uongo wakuu.
Kwahiyo tulipe milioni 6 kwa ajili ya kingereza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kimsingi, NECTA ni NECTA.
Content ya curriculum ni ile ile.
Tofauti ni lugha tu.
Sasa, kama unampeleka mtoto English Medium ambayo walimu Wana kiingereza kibovu, hakuna extracurriculars, hakuna activities ambazo zina lengo mahsusi la kukuza positive personality ya mtoto, basi muache tu Kayumba.

Alternatively, ukiwa na uwezo mpeleke mtoto shule za mitaala ya kimataifa kama IB na Cambridge. Tofauti itakuwa obvious.
 
Ni kupoteza pesa tu, wanaosoma kwenye hizo shule hawana ubunifu wowote, ni sawa na kuku broiler vs kuku wa kienyeji.

Kama pesa ipo, peleka mtoto kayumba mpaka kidato cha nne, baada ya hapo kamlipie kozi ya urubani na nyinginezo unazoona zinafaa; lakini kutumia gharama kubwa kwa ajili ya kwenda kujifunza a for apple ni kupoteza pesa.​
 
Mie vijana wangu wote nmewapeleka EM ila gov school, ada laki 4 kwa mwaka, wanakula asubuh na mchana hapo shule, hiyo laki 4 huwa naona kama nimechangia tu hela ya chakula
 
Aisee πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…