Watayafuta ila historia yake Iko pale pale•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Hii kombe ifutwe tu ndo maana tunasema timu zinazocheza huko hazina viwango ndo maana Yanga wakafika nusu fainali•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
propaganda...
Mbona Ulaya hawajayafuta? Njaa tuu hapa Afrika hakuna Cha kisingizio Cha mechi nyingi•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
jiulize mwenyewe kwanini unapigwa tano wakati Rais wa FIFA alisema timu yako inacheza vizuri dunia nzimaKivipi mkubwa apigwe 5 na mdogo?
Hakuna aibu kubwa kama timu kushikwa uchawi nchi za watuYatarudi yaleyale. Yanga walikuwa wawakilishi wa Tanzania lakini walikuwa wanarudi kwa aibu kuu.
Bora tupeleke timu hata 3 inawezekana mojawapo ikatutoa kimasomaso.
ila nyie mkaishia mnapo ishiagaHii kombe ifutwe tu ndo maana tunasema timu zinazocheza huko hazina viwango ndo maana Yanga wakafika nusu fainali
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumlisha points za hizo timu zote ukiondoa za Simba uone kama zilitosha kuibeba Tanzania, kumbuka Yanga ilikuwa na points 0.5Hapana mkuu....ni jumla ya point za timu zote Yanga namungo....Simba na.....
Ukiona inafutwa champions league itapanuliwa,na inavyopanuliwa itazid kupanuka,na mikia wataingizwa•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Tupo kwa Bayern ambayo ni kubwa kuruhusu kipigo dhidi ya timu ndogojiulize mwenyewe kwanini unapigwa tano wakati Rais wa FIFA alisema timu yako inacheza vizuri dunia nzima
Yaaah mkuu..ndo maana Simba walikodi Hadi waganga Toka Nigeria Ili kuwasha moto uwanjani pale sauz[emoji23]Hii kombe ifutwe tu ndo maana tunasema timu zinazocheza huko hazina viwango ndo maana Yanga wakafika nusu fainali
Sent using Jamii Forums mobile app
Na haipo hata ndani ya timu 15 bora Afrika kwa mujibu wa CAF,na Simba ni ya 7Yanga Ina 30+