Bad news: CAF kufuta kombe la shirikisho je, Simba tumejiandaaje?

Bad news: CAF kufuta kombe la shirikisho je, Simba tumejiandaaje?

Yatarudi yaleyale. Yanga walikuwa wawakilishi wa Tanzania lakini walikuwa wanarudi kwa aibu kuu.

Bora tupeleke timu hata 3 inawezekana mojawapo ikatutoa kimasomaso.
Yanga Sasa kimataifa ndo kwao
 
Uzuri CAF hawaijui Yanga hata ikichukua Ubingwa wanaweza wasiite. Rejea Juzi Tu waliitwa 8 Giants kwenye super cup. Nyie endeleeni kulalamika[emoji23][emoji23]
Zachini chini naskia Yanga walikataa kwenda super cup
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Watayafuta ila historia yake Iko pale pale
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Hii kombe ifutwe tu ndo maana tunasema timu zinazocheza huko hazina viwango ndo maana Yanga wakafika nusu fainali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Mbona Ulaya hawajayafuta? Njaa tuu hapa Afrika hakuna Cha kisingizio Cha mechi nyingi
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Ukiona inafutwa champions league itapanuliwa,na inavyopanuliwa itazid kupanuka,na mikia wataingizwa
 
Back
Top Bottom