Bad news: CAF kufuta kombe la shirikisho je, Simba tumejiandaaje?

Bad news: CAF kufuta kombe la shirikisho je, Simba tumejiandaaje?

Sasa kama nyie Mabingwa wa Africa tumewapiga 5G ulitegemea nini kwa Rivers United?
Nani mkubwa hapa?
Screenshot_20240113-124641.png
 
CAF jinga sana badala ya kuboresha mashindano kwa kuongeza hata michuano mingine midogo ili pia team ndogo ambazo hazipati nafasi club bingwa zicheze Kama ilivokua kwa UEFA conference league Bado wanapunguzu hiyo michache iliyokuepo.
Tatizo ni lack of kibunda....( Financial muscles
 
Ndio ujiulize kwanini baada ya Yanga na Marumo kushiriki hiyo michuano na kufika level za fainali kila kitu limebadilika.

Ilikuwa ni michuano ya heshima ila tangu Yanga na Marumo wakafika level za juu, kila kitu kikaanzia hapo kubadilika.

Tangu Yanga kufika fainali ya shirikisho inaonekana viongozi wa CAF walifanya tathmini na kugundua michuano hiyo imepoteza hadhi na kuanza kuidhalilisha tasnia ya Soka barani Afrika.

Ndio hapo katika kufikiria ni kivipi wanaweza kulinda heshima ya hiyo michuano ya timu mbovu kunufaika, ikabidi waondoe sheria ya play off.

Lakini baada ya maamuzi hayo ni kama CAF hawakuridhika waliweza kuona mwanya wa timu kama Yanga, Marumo na wenzake kunufaika.

CAF wapo kwenye mchakato wa kuyafuta kabisa yasiwepo.

Yanga na Marumo ndio wakulaumiwa maana wao ndio walitia nuksi haya mashindano
Hata kama hoja yakp ina ukweli lakini anaeenda kuathirika zaidi ni simba maana uyo yanga bado ataendelea kuchukua ubingwa mfululizo kwa miaka mingi tu hapa bongo lakini simba kuingia top 2 kwa sasa ni mtihani, azam anazidi kuimarika hata singida wakiacha utoto wanaweza kabisa kumaliza ligi mbele ya simba
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
MAUMI FC hawana akili
 
Hata kama hoja yakp ina ukweli lakini anaeenda kuathirika zaidi ni simba maana uyo yanga bado ataendelea kuchukua ubingwa mfululizo kwa miaka mingi tu hapa bongo lakini simba kuingia top 2 kwa sasa ni mtihani, azam anazidi kuimarika hata singida wakiacha utoto wanaweza kabisa kumaliza ligi mbele ya simba
Mwanzo nilijuaga zile story kuhusu Alinacha ni uongo ila mpaka niliposoma hii comment yako
 
Yatarudi yaleyale. Yanga walikuwa wawakilishi wa Tanzania lakini walikuwa wanarudi kwa aibu kuu.

Bora tupeleke timu hata 3 inawezekana mojawapo ikatutoa kimasomaso.
 
•••[emoji777]|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO

- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.

- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.

Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu

Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????

NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??View attachment 2870385
Watashiriki Kombe la Mapinduzi na mashindano mengine ya ndondo cup.
 
Uzuri CAF hawaijui Yanga hata ikichukua Ubingwa wanaweza wasiite. Rejea Juzi Tu waliitwa 8 Giants kwenye super cup. Nyie endeleeni kulalamika😂😂
 
Una chuki na Yanga kupita maelezo, kwani hao Yanga na Marumo walifika level za juu kwa shortcut au kufunga timu zingine? Anaenda mbele kwa kuifunga timu zingine inamaana uwezo wake ni mkubwa. Pyramid alitolewa, Berkane alitolewa, Tp Mazembe alitolewa ni kwasababu waliowatoa mashindanoni kawa bora dhidi ya hao. Achana na mpira wa kukariri majina tu makubwa ya timu.
We ndio mwenye mapenzi na Simba?
 
Hata kama hoja yakp ina ukweli lakini anaeenda kuathirika zaidi ni simba maana uyo yanga bado ataendelea kuchukua ubingwa mfululizo kwa miaka mingi tu hapa bongo lakini simba kuingia top 2 kwa sasa ni mtihani, azam anazidi kuimarika hata singida wakiacha utoto wanaweza kabisa kumaliza ligi mbele ya simba
Kabisa
 
Back
Top Bottom