utopolo mlifika hatua gani zaidi ya kupigwa nje ndani.Faraja zenu MAKOLO baada ya kipigo cha mmbwa koko kule South Africa na kutolewa mpwitompwito kama panya buku.
Ule upumbavu wa "hatoki Mtu kwa Mkapa" umewaponza na hatimaye mliopumbazwa nao Orlando Pirates na Berkane FC wametinga fainali [emoji2]
Dah! Inasikitisha. Mwenzio angalau Yuko kwenye 14 wewe hata kwenye 100 haumo , bado unamdhihaki badala ya kujihurumia.Hii nchi ni ngumu Sana. Kwa huo umri wako ulio nao nahisi wewe ni mchawi.Hata ivyo mmehurumiwa hiyo nafasi
Dah! Inasikitisha. Mwenzio angalau Yuko kwenye 14 wewe hata kwenye 100 haumo , bado unamdhihaki badala ya kujihurumia.Hii nchi ni ngumu Sana. Kwa huo umri wako ulio nao nahisi wewe ni mchawi.
Yanga ni ya ngapi?dah siamini aisee, kutoka 12 hadi 14 anyway dah naona namungo bado wako palepale 56, hapo ndo mwisho wa list kama team yako hauioni pole sana
Shida ni kwamba kwenye zile top 10 za kuanzia round ya kwanza naona kama safari hii ni ngumu maana kuanzia namba moja hadi 13 , teams ambazo kwenye nchi zao haziwezi kupata nafasi ya klabu bingwa kwa harakaharaka ni Berkane, Orlando pirates, Pyramids , hadi hapo tuko nje ya teams kumi labda kama etoile du sahel huko tunisia hataenda klabu bingwa which is very unlikely
Ila kwa zone ya cecafa bado simba ni ya kwanza : Teams bora 5 kwa zone ya cecafa huku nafasi zao kwa level ya afrika zikiwa kwenye mabano
1:simba (14)
2:Gor mahia(41)
3: Namungo(56)
4:Kcca(56)
5:Rayon(56)
View attachment 2226694View attachment 2226695
Djuma shabani kashatoa hirizi yake pale katika dimba la mkapa kati kati.Hongereni sana simba kwa kupigwa faini ya dola 10000 na Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) kwa kuonesha vitendo vya kishirikina kwenye ile mechi yenu ya marudio dhidi ya Orlando Pirates kule Afrika Kusini.
Kiukweli Taifa limepata aibu kubwa sana. Ukichukulia na uchawi wenyewe haukufanya kazi yoyote ile!!!! Zaidi tu ulisaidia kumfanya Cris Mugalu kuwa kiungo mkata umeme! [emoji31]
Acha ufala , kwahyo nyie utopolo ndo mmefanya nini cha maana kimataifa kuzid simbaFaraja zenu MAKOLO baada ya kipigo cha mmbwa koko kule South Africa na kutolewa mpwitompwito kama panya buku.
Ule upumbavu wa "hatoki Mtu kwa Mkapa" umewaponza na hatimaye mliopumbazwa nao Orlando Pirates na Berkane FC wametinga fainali [emoji2]
CAF nao wametupiga faini ya dola 10, 000 kwa lile tukio la kuwasha moto uwanjani kule bondeni.ikija kufanya hayo maamuzi ya teams 10 za round ya awali itakuwaje? labda kwa setif tutatoboa maana sahel na horoya kama sikosei hii miaka 5 wana nusu fainali walizoingia
Mkuu ule ulikuwa mkwara tu kumtisha mpinzani, hamna uchawi wa hadharani vile.😂 Hata hivyo haikuwa kitu kizuri kwa timu kubwa kama Simba.CAF nao wametupiga faini ya dola 10, 000 kwa lile tukio la kuwasha moto uwanjani kule bondeni.
Lile tukio ni la aibu, tulizingua Sana
Scars Ghazwat CHAMASON-MORISON-SAKHOSON GENTAMYCINE Championship OKW BOBAN SUNZU Tate Mkuu Its Pancho zipompa
Ipo siku Mkuu.
hivikumbe ilikuwa inawakilisha taifa? mimi nilidhani huwa inajiwakilisha yenyewe ipe hongera pia kwa kuleta teams 4 afrikaHongereni sana simba kwa kupigwa faini ya dola 10000 na Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) kwa kuonesha vitendo vya kishirikina kwenye ile mechi yenu ya marudio dhidi ya Orlando Pirates kule Afrika Kusini.
Kiukweli Taifa limepata aibu kubwa sana. Ukichukulia na uchawi wenyewe haukufanya kazi yoyote ile!!!! Zaidi tu ulisaidia kumfanya Cris Mugalu kuwa kiungo mkata umeme! 😫
sasa kama hujui kusoma hiyo list ya teams bora afrika nikusaidieje , unauliza simba umeenda mbali sana namungo yuko 56 jiulize wewe una kiwango gani?Hivi nyie simba mna kiwango gani?
Ilikuwa inamuwakilisha Moo na Vunja Bei! Sisi kama Taifa tumeambulia tu aibu.hivikumbe ilikuwa inawakilisha taifa? mimi nilidhani huwa inajiwakilisha yenyewe ipe hongera pia kwa kuleta teams 4 afrika
Yanga ni ya ngapi?
Pole kwa aibu aisee leo kwenye ligi dhaifu husikiagi kauli tunagombea top four..hayo yote yamesababishwa na li duuuuude likuubwa linaloibeba ligi dhaifu mabegani mwake..ukimaliza kusikia aibu ukatolewe tena kwa kupigwa nje ndani uje uendeleze majungu na fitnaIlikuwa inamuwakilisha Moo na Vunja Bei! Sisi kama Taifa tumeambulia tu aibu.