Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
utopolo mlifika hatua gani zaidi ya kupigwa nje ndani.Faraja zenu MAKOLO baada ya kipigo cha mmbwa koko kule South Africa na kutolewa mpwitompwito kama panya buku.
Ule upumbavu wa "hatoki Mtu kwa Mkapa" umewaponza na hatimaye mliopumbazwa nao Orlando Pirates na Berkane FC wametinga fainali [emoji2]
Yanga wenye akili ni Sunday Manara na kikwete tu