Badaaaaam Batamwagika, Dogo Janja amtolea uvivu Soudy Brown

Badaaaaam Batamwagika, Dogo Janja amtolea uvivu Soudy Brown

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufata PM

339f9295f3be15a722f4d5b54a6b9470.jpg
 
Naona Dogo janja ameamua nyimbo zake kutopigwa na clouds Sasa!
Promo ambayo huwa wanamfanyia Sasa ndo itakuwa mwisho......
time will tell

Haikuwa na lazima kufanya alichokifanya , angeweza pia kukausha na mambo yakaisha...huwezi kushindana na soudy brown
 
Irene alisema hii sio account yake ya facebook [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu wana maneno eti gololi zinagonga chuma.
Haya ndio mambo yako si unaoana ulivyo active
 
Why Panic.. Soudy anafanya Gossiping na kipindi chake inajulikana kabisa ni gossips nashangaa wanaopanic
Ukishajiitaa/ukishaingia kwenye maisha ya usuper star hizo ndio gharama zake... watulie tu Soudy aendelee kuleta Ubuyu!

Ukipanic mwenzio ndo anafurahi , hapa leo kashapata ubuyu mpya, though nadhani kamuharibia na hiyo picha
 
Back
Top Bottom