Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Kuna baadhi ya viongozi badala kusimama kwenye nafasi zao kufanya kazi wamekalia kuwasema watu ndio maana mnaleta uzembe mpaka watu wanapoteza mali zao.
Rais amewaweka mmsaidie kufanya kazi na sio kuwasema watu. Hivi mkiwasema watu mnafaidika na nini.
Fanyeni kazi acheni maneno, kila mmoja simama kwenye nafasi yako fanya kazi mnawapa mzigo viongozi wakuu kuanza kuwafuatilia.
Mimi naona hapa Rais akisikia kuna kiongozi anasimama kwenye midia kumsema mtu badala ya kusema kile alichokifanya katika nafasi yake ni bora kutumbua tu.
Wanaleta uzembe kazini kwa kukalia swaga tu.
Rais amewaweka mmsaidie kufanya kazi na sio kuwasema watu. Hivi mkiwasema watu mnafaidika na nini.
Fanyeni kazi acheni maneno, kila mmoja simama kwenye nafasi yako fanya kazi mnawapa mzigo viongozi wakuu kuanza kuwafuatilia.
Mimi naona hapa Rais akisikia kuna kiongozi anasimama kwenye midia kumsema mtu badala ya kusema kile alichokifanya katika nafasi yake ni bora kutumbua tu.
Wanaleta uzembe kazini kwa kukalia swaga tu.