Pelekeni ujinga wenu huko.Tatizo lenu ni la kihistoria na mnarithishana maujinga .wakati wa ukoloni wakenya walikuwa ndio viherehere wa kuwapakazia wenzao kwa mzungu ili waonekane wao ni bora zaidi na walijinasibu kuwa wao ni wazungu weusi
Wakenya ni watu wenye ndimi mbili au anakuchekea kimono pembe au ana mipaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Mlizoea wakati ule kuididimiza bongo kwenye utalii na kuwahadaa wazungu kwenye mitandao kuwa vivutio vyote vya utalii vya bongo ni vya kwenu.Sasa jaribuni muone mtashambuliwa hukohuko mlikoposti hadi aibu
Mlitaka kutumia issue ya korona ili muharibu utalii wetu na kuwahadaa wazungu wawape misaada kama enzi za ukolono mlivyokuwa ma informer wa mzungu ili mpate ration kubwa ya chakula. TABIA ZENU NI HEREDITY MNAFANANA NA SUNGULA WA TAMTHILIA YA SULTAN.
Embu fikiria kama hali ingekuwa sawa na hicho mnachoposti kwenye mitandao hivi bongo sii tungekuwa tumeisha?hata hapa JF accounti za watu zisingekuwa hewani ila kama ilivyo mitaani tunasunda tuu wala3hakuna mamata.Tunasubiri kwa hamu mtajifungia hadi lini