joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mimi ninadhani tutaishi vizuri zaidi kama kila nchi itafanya mambo yake. Kenya na Tanzania hatuwezi kushirikiana.Wacha uongo. Kwenye hizo video nne nilizoona, watu wanazungumza kwa kiswahili cha kibongo. Kuna moja mtu ameanguka Kariokoo.
Sent using Jamii Forums mobile app