Badala ya Kenya na Tanzania kupimana urefu wa kisogo kwanini tusishirikiane kwa pamoja?

Badala ya Kenya na Tanzania kupimana urefu wa kisogo kwanini tusishirikiane kwa pamoja?

Tulizeni miguu dawa ipenye. Next time, using'ate mkono unaokulisha!
 
Tuma hiyo video tuone ,maana tatizo Kenya mnatumika na wazungu kwa propaganda kwa maslai yao bila kunijua huku TZ Aman kabisa tofauti hali munayotangaza huko kwenu na cjui kwanini Tony254

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa si mkubaliane na hali? ya ukoloni yamepita sasa tupimane kwa tabia za undugu wetu wa asili na sio kujipendekeza tena kwa hao wakoloni kwa kuwapakazia wenzenu.
Lakini walitunyang'anya mlima wetu.
 
Hizo video ulizoziona ni wanasiasa wa upinzani wanajianhusha na kujirekodi ili waichafue serikali. Corona imekwisha Tanzania na J2 tutakuwa na beach party.
Hio ya Kariokoo mwili imelala hapo kwa masaa zaidi ya ishirini na minne na imefunikwa sanda. Na watu wanapita tu bila kushughulika. Anayerekodi video anasema hapo ni Kariokoo. Mwanasiasa mgani wa upinzani anaweza lala chini masaa 24 bila kusonga au kuenda choo?
 
Hio ya Kariokoo mwili imelala hapo kwa masaa zaidi ya ishirini na minne na imefunikwa sanda. Na watu wanapita tu bila kushughulika. Anayerekodi video anasema hapo ni Kariokoo. Mwanasiasa mgani wa upinzani anaweza lala chini masaa 24 bila kusonga au kuenda choo?
Karibu beach party jirani
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Wacha uongo. Kwenye hizo video nne nilizoona, watu wanazungumza kwa kiswahili cha kibongo. Kuna moja mtu ameanguka Kariokoo.
Kumbe dalili za COVID19 ni kuanguka!!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kumbe kabla ya COVID19 watu walikuwa hawaanguki? Na huko kwenu Kenya kumbe watu wameacha kabisa kuanguka tangu CORONA VIRUS ilipoingia??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Vilaza wa Kunya bwana[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I like your optimism My Comrade , but hawa watu huwezi kushirikiana nao..
Wana some level of low self esteem na insecurity za kishenzi ambazo huwezi kuelewa...
 
kwani kuanguka watu si jambo la kawaida na lipo siku zote na mahali popote hata uko kwenu? kumbuka watu hadondoka kwa njaa, magonjwa kama kifafa na maradhi mengine sii lazima iwe korona
Nadhani sikuwa mlengwa wa post yako.
 
I like your optimism My Comrade , but hawa watu huwezi kushirikiana nao..
Wana some level of low self esteem na insecurity za kishenzi ambazo huwezi kuelewa...
Tatizo sijui ni ujinga au uzezeta. Huwezi kuleta uhuni halafu ukaanza kushangaa watu wakirudisha mapigo. Kama huwezi kuhimili joto toka jikoni.
 
Bc sawa ninyi endeleeni kupiga kampeni za wazungu cc tunapiga pesa tu mwisho wa mwezi huo unakaribia hahahaha ningekua ndani ningeweza kutengeneza laki 8 kwa mwezi kweli !! Asante Sana MUHESHIMIWA RAIS MAGUFURI maana nikiandika kwa herufi ndogo itakua cjamtendea haki
Naogopa nikiweka video uzi utafungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I like your optimism My Comrade, but hawa watu huwezi kushirikiana nao. Wana some level of low self esteem na insecurity za kishenzi ambazo huwezi kuelewa.
Hahaha. Ndio nineona kwa hizo comments zao. Nilikuwa nahisi huruma tu juu nimeona mavideo wanaanguka sio mchezo
 
Mmelikoroga Sasa mlinywe. Mmeongea ongea na kujifutua Kama kifutu. Tumepiga pini.

1. Sirari
2. Namanga
3. Holili na,
4. Horohoro

Sasa mmepagawa
 
Unajua hali ya waandishi wenu wa habari wanaendeleaje? Sasa hivi wakenya watakua macho hii ndio TANZANIA Nchi isiyoyumbishwa walizani TZ Kama Nchi yenu ya wahuni
Hahaha. Ndio nineona kwa hizo comments zao. Nilikuwa nahisi huruma tu juu nimeona mavideo wanaanguka sio mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niweke video hizo au nisiweke? Tupige kura. Watu watano wakikubali naweka.
 
Back
Top Bottom