joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mimi ninadhani tutaishi vizuri zaidi kama kila nchi itafanya mambo yake. Kenya na Tanzania hatuwezi kushirikiana.Wacha uongo. Kwenye hizo video nne nilizoona, watu wanazungumza kwa kiswahili cha kibongo. Kuna moja mtu ameanguka Kariokoo.
Mimi ninadhani tutaishi vizuri zaidi kama kila nchi itafanya mambo yake. Kenya na Tanzania hatuwezi kushirikiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wangekuwa a landlocked country...huyu Sijui MK254 simuelewi kwa hakika ...nilidhani ni mtu mwelewa kumbe inaelekea hamna kitu hapo.Kwanza nimeamua kukujibu kwasababu Leo umeandika kwa kunyenyekea sana, umeonesha nidhamu. Safi sana, wa Tanzania tunapenda nidhamu, sio unaandika andika tu ugoro kama Jana.
Turudi kuhusu historia, ukiwa unataja kwamba Mlima Kilimanjaro ulikuwa Kenya usisahau kusema Bandari ya Mombasa ilikuwa Tanzania.
Ndiyo maana mkaachia mlima ili mpate bandari, Mngekuwa na hali mbaya zaidi muda huu
Section 20
Lakini walitunyang'anya mlima wetu.
Story suluhu zinakuja baada ya nyie kufanya unilateral decison ya kufunga mipaka yenu !!
Tulieni muuone moto, hatatutaki undugu wa washenzi, kila mtu abaki kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha unafiki Leta hizo videoBadala ya Wabongo kutaka ligi na Kenya kwanini tusishikane kwa pamoja kama ndugu na kupambana na corona kwa pamoja? Ninaandika hivi kwa sababu nimetazama video kadhaa zinazozunguka mitandaoni zikionyesha Wabongo wakianguka mitaani. Hali iko vipi huko kwenu? Mko salama majirani?
Fanyeni Mambo yenuWe are almost the same in trade numbers ..import/export revenues ..btn us ..inabidi tu work on this close zinazoumia ni company zetu..vitu vingine sio politcs
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani aliwakataza kufunga mipaka? Sisi tumeshafunga yetu. Nyie mnangoja nini?Ni ngumu kidogo kushirikiana na wajinga. Mjinga mwingine jana anasifia askari kupiga watu, mjinga mwingine anashangaa watu kufix transfoma na hapo hapo umeme bado haujarudi. Mjinga mwingine anasifia nchi yao kupambana na corona ukimuuliza jumla ya deni la corona na lile linalosababisha china itake kuoa nchi nzima, hajui.
Nafikiri Tanzania tuendelee kuwaunga mkono jirani zetu Kenya kwa msimamo wao wa kufunga mpaka ili kujikinga na corona, hivyo nasi tuendelee kufunga mpaka.
Nani aliwakataza kufunga mipaka? Sisi tumeshafunga yetu. Nyie mnangoja nini?
Hata kwenye trade of goods and services ambapo nyie mnafaidi zaidi kutushinda? Kama ni hivyo nyie ndio mtaumia zaidi. Hebu katazame nchi gani ina trade surplus na gani ina deficit kati ya hizi nchi mbili. Nyie ndio mtaumia kutushinda. Kumbuka tayari uchumi wetu ni mkubwa kushinda wenu. Hamna ubavu wa kukataa kutrade na Kenya kwa sababu umaskini wenu utaongezeka mara dufu.Mimi ninadhani tutaishi vizuri zaidi kama kila nchi itafanya mambo yake. Kenya na Tanzania hatuwezi kushirikiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado wamekamatwa na watafikishwa kortiniHebu niulizie kuhusu wale wahandishi wa habari bado wanaonja joto la jiwe au, maana hataki kunijibu labda umuulize wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakua hauna habari.Nani aliwakataza kufunga mipaka? Sisi tumeshafunga yetu. Nyie mnangoja nini?
Uhuru Kenyatta aneshapiga simu kuomba msamaha, Kenya hamna ubavu wa kupambana na Tanzania.Hata kwenye trade of goods and services ambapo nyie mnafaidi zaidi kutushinda? Kama ni hivyo nyie ndio mtaumia zaidi. Hebu katazame nchi gani ina trade surplus na gani ina deficit kati ya hizi nchi mbili. Nyie ndio mtaumia kutushinda. Kumbuka tayari uchumi wetu ni mkubwa kushinda wenu. Hamna ubavu wa kukataa kutrade na Kenya kwa sababu umaskini wenu utaongezeka mara dufu.
ah ah sasa kama kichogo kipo kwanini tusiwaseme...tumewashika pabaya eh?Badala ya Wabongo kutaka ligi na Kenya kwanini tusishikane kwa pamoja kama ndugu na kupambana na corona kwa pamoja? Ninaandika hivi kwa sababu nimetazama video kadhaa zinazozunguka mitandaoni zikionyesha Wabongo wakianguka mitaani. Hali iko vipi huko kwenu? Mko salama majirani?