Badala ya Kenya na Tanzania kupimana urefu wa kisogo kwanini tusishirikiane kwa pamoja?

Sasa unaumwa juu tumepewa loan? Ona huyu jamaa? Sisi tunastabilize nchi, nyie zuieni wanaoanguka mitaani.
debt to GDP ration is over 70% sasa n be rest assured next year u will still have hunger!
 
Umekoga lakini?
 
Wishful thinking. Uhuru asingepiga simu. Mind you hata huku Wakenya wamewekeza kwenye kilimo pia. Mtaumia both ways. Mtapata taabu sana kati hii miaka 10 ijayo.
 
Mi pia ninashangaa niko bongo na ninafanya kazi moja ya hospital kubwa ambayo ni inapokea wagonjwa wa covid sijaona hilibtatizo wanalosema watu. Naamin kuna watu wanasubir wabongo waishe waje kurithi. Watatengeneza post zao hata kuzi edit ili ionekane wanavotamani lakini ukwel utabakia ukweli milele ni mida tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then why did Uhuru call magufuli abt border closure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachojua kuna mlevi kampigia mwana sayansi, mrejesho tutaupata tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mark Vivian Foe aliamguka akiwa anacheza mechi ya kimataifa, mwanamazoezi, alikuwa na corona? Kilichobadilika kwa sasa ni kuwa vifo vingi hata natural death vinaripotiwa.

Angalau nyie mnaficha lkn mnasema angalau kidogo. Sasa mazuzu ya Rwanda na Uganda yanaamini hakuna aliyekufa wakati cases zimefikia 303 vs 290+, halafu eti no death. Idiot
Kwani kuanguka watu si jambo la kawaida na lipo siku zote na mahali popote hata uko kwenu? Kumbuka watu hadondoka kwa njaa, magonjwa kama kifafa na maradhi mengine sii lazima iwe korona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…