Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Ukienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini!
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.