Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii ni shida sana. Mkiambiwa ccm ni janga muwe mnaelewa. A graduate being paid laki mbili si lazima afe kwa stress tu
Tuwakosoeni watu na viongozi wetu kwa staha. Acha huu ujinga, watakushughulikiaMkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.
Ujinga tu na nchi kukosa mwelekeoVipi kuhusu Graduate anayejitolea
Hivyo vyote vinatetea[emoji304]Vyama vya walimu pia ni butu mno
Matatizo ya elimu ya Tanzania yanaanzia kwenye serikali kushindwa kuongoza. Haya mengine yooote haya uliyoorodhesha na hilo la wanafunzi kucheza nyimbo, ni matokeo yake. Hivyo ni kupoteza wakati bure kujadili matokeo badala ya chanzo. Kwa mfano haya unayolalamikia mengi yanatokea kwa sababu ya kutokuwa na vyama imara vya kutetea maslahi ya waalim. Vyama vilivyoko vimegeuzwa kuwa matawi ya CCM na viongozi wake badala ya kutetea maslahi ya waalim wamegeuka kuwa chawa wa serikali. Na hili la nyimbo nalo ni matokeo ya uongozi mbovu kuendekeza vitu vya hovyo kabisa inapoona vina maslahi serikali. Hawa kina Zuchu na hizo nyimbo zao hutumika na CCM kuwapumbaza watanzania wakati wa kampeni na hata muda ambao siyo wa kampeni. Rais yuko tayari kusafiri nje ya nchi na watu wa hovyo kabisa wanaojiita ni wasanii ili tu watumike kumtetea.Ukienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini!
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.
Kwani Si muache kazi ili mlinde heshima zenu au mnataka muuonekane mnaenda tu kazini?Ukienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini!
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.
"Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili"...... Kuna wafanyakazi wana ratiba za aina hii ya kila siku? Wanalipwa pesa ngapi kwa masaa haya ya kazi?Ukienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini!
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.
Ukienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini!
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.
Waziri ana kazi Gani sasaKulikuwa hakuna haja ya kuattack personality ya Waziri. Halafu mbona hayo mambo yanaweza kushughulikiwa na afisa elimu?. Waziri ni mtu wa juu Sana.
Kwenye andiko lako lote sijaona popote ulipofafanua namna Elimu inavyo haribiwa kwenye shule binafsiUkienda private schools kuna manyanyaso mengi sana mpaka unajiuliza hivi wizara husika IPO kweli au hawajui wafanye nini!
1. Mishahara ya baadhi ya shule kwa graduates haizidi laki mbili kwa mwezi wakati serikali imeahaweka kima cha chini na cha juu na graduates anapaswa kuanzia laki saba.
2. Private schools 90% huwa hawatoi mikataba ambapo unyanyasaji wa kufukuzwa ni mkubwa. Mwajiri anaweza kukuota vibaya usiku kesho asubuhi akakufuza bila sababu yoyote.
3. Privates schools nyingi mpaka simu wanakunyanganya inawekwa kwa mlinzi utaiona wakati wa kwenda nyumbani. This is totally enslavement. Mfano ni shule ya Nyahili pale Arusha Morombo eneo la Intel kwa chini hivi na tena inamilikiwa na mbunge aliyechikuwa Jimbo la Tarime Mjini.
4. Kutukanwa matusi ya nguoni ni mwajiri ni kitu cha kawaida sana.
5. Hakuna likizo kwa wafanya kazi walimu nk.
6. Kazini unaingia sa kumi na moja alfajiri unatoka saa mbili usiku. This is ridiculous kabisa. Halafu mshahara laki mbili.
Mpaka unajiuliza serikali hii inafanya kazi gani! Human welfare iko wapi ambayo ndio moja ya kazi za serikali kulinda maslahi ya umma?
Ukienda Kenya huwezi tofautisha mfanyakazi wa private schools na public schools. Wote wanakuwa treated sawa kabisa, wala mwajiri private hawezi kujisikia tu kumfukuza mwalimu, ni process kubwa mno.
Mkenda nilikuwa nakuona wewe ni Professor kumbe galasa tu.