Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Kila safari atayofanya Rais , lazima itaambatana na kisainiwa kwa mikataba ya kiuwekezaji kwenye Rasilimali zetu.
Dunia ya sasa idadi ya watu inaongezeka na hii inafanya rasilimali kuwa adimu.
Kwa kulitambua hili mataifa makubwa yamekuwa na sera kandamizi na kutumia mbinu za kila aina kuhakikisha kwamba mataifa yao hayapungukiwi na rasilimali muhimu.
Hapa Tanzania kasi ya ongezeko la watu bado ipo juu. Ingawa tunaona kwamba tuna rasilimali nyingi ila ukweli ni kwamba Rasilimali hizo ni chache, na itafika kipindi hazitakidhi mahitaji ya idadi ya watu itayokuwepo.
Kwa kuangalia hatari hiyo serikali inapaswa kuwekeza nguvu kwenye kuwajengea uwezo wananchi wake ili kuhakikisha kwamba wananufaika kwa asilimia kubwa rasilimali zilizopo nchini.
Hii ya kuacha milango na madirisha wazi ni kama kufanya suicide ambayo wakati ukifika hakutakuwa tena na kizuizi kwa hasira watakazokuwa nazo wananchi kwa wakati huo.
Dunia ya sasa idadi ya watu inaongezeka na hii inafanya rasilimali kuwa adimu.
Kwa kulitambua hili mataifa makubwa yamekuwa na sera kandamizi na kutumia mbinu za kila aina kuhakikisha kwamba mataifa yao hayapungukiwi na rasilimali muhimu.
Hapa Tanzania kasi ya ongezeko la watu bado ipo juu. Ingawa tunaona kwamba tuna rasilimali nyingi ila ukweli ni kwamba Rasilimali hizo ni chache, na itafika kipindi hazitakidhi mahitaji ya idadi ya watu itayokuwepo.
Kwa kuangalia hatari hiyo serikali inapaswa kuwekeza nguvu kwenye kuwajengea uwezo wananchi wake ili kuhakikisha kwamba wananufaika kwa asilimia kubwa rasilimali zilizopo nchini.
Hii ya kuacha milango na madirisha wazi ni kama kufanya suicide ambayo wakati ukifika hakutakuwa tena na kizuizi kwa hasira watakazokuwa nazo wananchi kwa wakati huo.