- Thread starter
- #21
mpenzi! mandazi nilipika tena basi! lol na ndo hadi weekend! thanx farkhina kwa mapishi motomoto unachangamsha jamvi na kutupa apetite
Hahahaha....shukraan shosti..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpenzi! mandazi nilipika tena basi! lol na ndo hadi weekend! thanx farkhina kwa mapishi motomoto unachangamsha jamvi na kutupa apetite
Ukhtii ..Maakulati yako unapamba kaDhahabu (multiculture) kwani kila mtu hupenda dhahabu... hivo taswira za maakulati zavutia. mie badia nshaziona ila kuzikaanga sijawahi..
kind thanks
mpenzi! mandazi nilipika tena basi! lol na ndo hadi weekend! thanx farkhina kwa mapishi motomoto unachangamsha jamvi na kutupa apetite
Ndio ukaange tena recipe ndo hiyo....
Mi huwa naweka na yai moja kwenye huo unga wakati nauandaa na siweki curry powder,ngoja leo hii hii nijaribu hii recipe
asante sana!
Jaribu my dear....urudi kutupa feedback
Maashaallah!! Ndio zimeliwa jioni hapa mamy,nilipunguza pilipili tu maana katika walaji kuna watoto pia!
Ahsante kwa recipe,leta zaidi za bites. Jazaakallahu l khair.
tatizo uzito wa unga ukishachanganya uwe mwepesi au mzito
Uwe mzito ila sio sana
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
asante
tatizo uzito wa unga ukishachanganya uwe mwepesi au mzito
masai dada ID yako inanikumbusha ule mpambano wa las week!
kuna mwingine sijakuona kule Kwa umukagame kasema anaolewa kampata msabato humu jf nenda kuna uzi kauweka kule
Hahahhahah mtasutwa shauri zenu lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
farkhina, nikichanganya majani ya giligilani kwenye chatne itanoga?
Napenda iwe na rangi ya kijani.
Km giligilani ndo unakusudia kotmir basi itanoga ndio.