Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaitwa fundi john ila last 2moths nilimuona garage moja Dodoma amefungua kijiweKuna fundi wa gari za BMW yuko maeneo ya mwenge karib na tamal hotel! Fanya kumcheki tatizo litatatuliwa hilo
contact zake bahat mbaya zilishapotea!
Hahaha umenichekesha sana aisee poa sisi wenye Dahtsu Boon tupo kundi ganiUnajua watu Kuna kitu hawaelewi!
Hakuna gari za Toyota Bali Kuna usafiri aina ya Toyota!
Magari ni km haya BMW, Audi, Volkswagen, Ford motors, Land Lover nk!
Ni kweli, akienda Mwenge pale kuna mafundi watalaam wa gari za Europe(Audi, BMW, VW, Range Rover, Land Rover Discover na magari ya Toyota/Japan ya soko la Europa na Amerika)Kuna fundi wa gari za BMW yuko maeneo ya mwenge karib na tamal hotel! Fanya kumcheki tatizo litatatuliwa hilo
contact zake bahat mbaya zilishapotea!
BIGURUBE acha ulimbukeni bwana. Toyota is one of the most competitive car making company in the world( na kwa sasa inaongoza katika makampuni 10 mkubwa duniani ya kutengeneza magari)
wanazalisha gari zenye sifa tofaut kwa sababu tofauti. ulaya na marekani wanatumia Toyota itakuwa wewe tu mswahili wa hapa unajidai eti si magari.... huo ni ulimbukeni tu. labda uwe huzifahamu gari za Toyota.
- 8th place: Honda Motor.
- 7th place: Fiat-Chrysler.
- 6th place: Ford Motor.
- 5th place: Hyundai-Kia.
- 4th place: Nissan-Renault Group.
- 3rd place: Volkswagen Group.
- 2nd place: General Motors.
- 1st place: Toyota Motor.
katika gari imara duniani
20. Toyota FJ Cruiser
19.Lexus LX 570
11.Toyota 4Runner
6.Toyota Land Cruiser FJ 40
5.Toyota Land Cruiser Mkonga
number 1 is Jeep Wrangler,
Mercedes Benz G Class ikiw anamba 7
kama vile haitoshi kuna Toyota Crown Majesta ni moja ya magari ambayo ni ya kifahari
View attachment 686817
View attachment 686819
View attachment 686820
View attachment 686821
View attachment 686822 View attachment 686823
Hi ni Toyota Crown ya mwaka 2013
price150 000 $![]()
Top speed 250 kph / 155 mph
Speed from 0-100 kph 5.7 seconds
Power 343 bhp / 252 kW
bhp / weight
185 bhp per tonne
Displacement
3.5 litre / 3456 cc
Weight
1850 kg / 4079 lbs
halafu wewe mlalahoi tu huna mbele wala nyuma unakuja kusimama mbele ya wanaume unaponda magari ya toyota? we utawafanya watu wagundue kuwa hufahamu magari na una ulimbukeni. magari yanazidiana uzuri na thamani lakini kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ponda magari ya Mjapani hata siku moja. Japan wanauza magari all over the world. wanatengeneza magari kulingana na mahitaji ya watu husika. watu wa aina yako wakue sasa.
Ujue kuna ulevi wa magari kama ulevi wa bia , ngono, simu nk
ou
BMW is as good as a Piece of cake if your bank account is good!
Ni bei chee kweli ila matunzo yake sio bei chee, mind your bank account mzeeMagari ya Bei Chee haya, sema Watanzania wengi tumelishwa matango pori, tumeyasadiki na tumeyafanya kuwa ndio dini yetu, eti gari Kama sio Toyota basi ni ndoa ya Kikristo
mbona kama ume panic? mimi nimekuletea fact. wewe unaleta mipasho. sasa nimiliki funguo ya gari inisaidie nini badala ya kumiliki gari? hapa ndo nimegundua kumbe nahangaika kumwelekeza mtu ambaye ana miliki funguo ya gari. wenye kufahamu magari hawawezi kuandika unachoandika. wenye akili wangekuja na hoja lakini huna hoja pamoja na kukuletea evidence umeishia kupanik na kutoa povu sehemu zako zote za wazi za mwili? just relax bwana mdogo ukikua utafahamu magari yakoje kwa sasa endelea kuwa unasikiliza wanachosema vijiweni nawe uje kuandika huku.We bwege tu usituletee ushamba wako, umewahi kumiliki hata funguo ya gari wewe?
Anaonekana ana upeo duni huyoWe bwege tu usituletee ushamba wako, umewahi kumiliki hata funguo ya gari wewe?
Kweli kabisaUjue kuna ulevi wa magari kama ulevi wa bia , ngono, simu nk
Pia tumeshazoezwa gari za Kijapan na mafundi wetu tangu wanajifunza wanajifunzia hukoKitu kinachotushinda ni kwamba gari za kizungu ziko more advanced kiteknolojia na unakuta matengenezo ndio tatizo kwa maana ya pesa,spea na mafundi pia utakuta BMW imepaki inasumbua gearbox na tatizo hilohilo likitokea kwenye brevis linatatuliwa fasta,nissan nazo nyingi ni kama european car si mbovu ila kuzihudumia ndio tatizo.
[emoji23][emoji23]utadhani ni sheria kujifunzia gari za kizamani,pale iringa veta miaka ya 2000 kulikuwa na peugeot 203 nilishangaa kuiona na misele inapiga!Pia tumeshazoezwa gari za Kijapan na mafundi wetu tangu wanajifunza wanajifunzia huko