kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Desemba 22,2022 Mhe. Rais Samia Suluhu alizindua zoezi la kuanza ujazwaji maji kweny Bwawa la kuzalisha umeme la Mwalimu Nyerere. Hadi sasa mradi umebakiza asilimia 18 kukamilika huku ujazo wa maji ukiwa ni zaidi ya mita 133 kutoka usawa wa bahari.
Ujazo wa Bwawa la Nyerere lina ujazo wa lita za maji bilioni 33 ambazo ni mara kumi ya ujazo wa Bwawa la Mtera lenye ujazo wa bilioni 3. Sambamba na hilo tayari mtambo unaojulikana kama Runner umewasili. Mtambo huu una uzito wa tani 79 ambayo mingine 8 iko njiani inakuja.
Ujazo wa Bwawa la Nyerere lina ujazo wa lita za maji bilioni 33 ambazo ni mara kumi ya ujazo wa Bwawa la Mtera lenye ujazo wa bilioni 3. Sambamba na hilo tayari mtambo unaojulikana kama Runner umewasili. Mtambo huu una uzito wa tani 79 ambayo mingine 8 iko njiani inakuja.