Bado dada wa kazi anahitajika

Bado dada wa kazi anahitajika

Ruble

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
845
Reaction score
1,579
Eneo la kazi Dar, Tegeta
Mshahara elfu 60
Nyumba ya watu wawili
Hakuna mtoto.
Kwa mawasiliano au kama kuna mtu anaye nicheki pm tafadhali

UPDATE:
Shukrani kuna mdau humu amenisaidia amepatikana mdada tayari. Tubarikiwe sote!
 
Sasa mkuu huyo boss hana mtoto mmh isije ikawa anataka mke [emoji1787][emoji3][emoji3]
 
Watu wawili ni mke na mume ama ni boss na huyo dada wa kazi?
 
Mimi nahitaj mshahara laki moja ni a watoto wawili wote wanaenda shule na kurud jion
Shida mabinti wa kazi siku hizi hawakai [emoji27]
 
Hello wapendwa natafuta fulsa ya kazi
Nina Diploma ya IT na kupamba kwa kutumia mapulizo ( balloon decoration )
 
Unahitaji hata wa kutoka hapa hapa mjini au lazima atoke kijijini?
Kama uko serious tuwasiliane
Mkuu nami nahitaji mshahara elfu 70. Hakuna mtoto. Ni mama mtu mzima na binti yake.
 
KUWENI MAKINI.
kuna jamaa alifanyiwa huu mchezo kuwa anahitajika house boy.
Alipoenda akakabwa na hela akachukuliwa.
Sisemi mleta mada anahusika ni TAHADHARI TU
Nami sijui kwa nini nimepata wasiwasi baada ya kusoma huu uzi
 
Basi tu watu hawajui....

Binadamu sio wa kuwaamini hata kidogo....

Moyo wa mtu kichaka.

#SelfDiscipline...
Umentisha hadi nimeogopa! Nilitaka ni Apply hii Job.
 
Back
Top Bottom