mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Suala la kufa kiume mmeshalikataa, tusiwasikie mnasema "tumekufa kiume".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna aliyewapangia nyie mseme mmekufa kiume so hamuwezi kutupangia cha kusema juu ya kufungwa kwetu na uzuri zaidi tarehe 3 tunaendeleza mapambano why tuseme tumekufa???BORA KUCHAGUA ANDAZISuala la kufa kiume mmeshalikataa, tusiwasikie mnasema "tumekufa kiume". Labda semeni TUMEKUFA KIKE!!
Hapana tumeumia wote, si unajua anapeperusha bendera ya Tz au?kufungwa afungwe YANGA lakini wanaoumia, kuweweseka na kupata sonona ni makolo... kweli nyie ni mambumbumbu, madunduga
nawaonea huruma makolo... mtapata sana sonona kwasababu ya mafanikio ya YANGAHapana tumeumia wote, si unajua anapeperusha bendera ya Tz au?
Kumbe kufungwa nyumbani kwako ni mafanikio au?nawaonea huruma makolo... mtapata sana sonona kwasababu ya mafanikio ya YANGA