Bado Km 51 ili Kigoma-Dar iwe lami. Rais Samia anaenda kuunganisha mikoa yote kwa lami

Ukiona una mtoto mwenye hulka zinazofanana na mtoa post haraka sana kambadirishe na pepeta iambulie, maana wahuni si watu wazuri, awachelewi kufanyi wali ukawa bwabwa kisha wale kisamvu kopo.
 
Ukiona una mtoto mwenye hulka zinazofanana na mtoa post haraka sana kambadirishe na pepeta iambulie, maana wahuni si watu wazuri, awachelewi kufanyi wali ukawa bwabwa kisha wale kisamvu kopo.
Unateseka na chuki 😁😁.Safi sana Hadi upigwe na vidonda vya tumbo Ili ukome
 
Kwani mawazo ya kutanua Barabara yameisha na msukule wenu?

Au wakati ni Rais alikuta hakuna Barabara Tzn?

Umevimbiwa upumbavu
Mbona kama unatokwa povu tena na tumekubaliana tuwe machawa wa samia? Au unataka peke yako ndo uwe u anasifia? Unaonea hadi wivu wenzio? Astaghafilulah.... Sheikh waanza nitukana hadi nami? U hali gani huko uliko? 😃
 
Mbona kama unatokwa povu tena na tumekubaliana tuwe machawa wa samia? Au unataka peke yako ndo uwe u anasifia? Unaonea hadi wivu wenzio? Astaghafilulah.... Sheikh waanza nitukana hadi nami? U hali gani huko uliko? 😃
Povu Kwangu ni kawaida.

Yule msukule wenu si alishindwa kuunganisha Barabara za Mikoa Kwa hiyo Tulia Samia awafundishe kazi.
 
😅😄😁🤣😀😀😅😄😄😄😁😁😀😀😀😀😅😄😄😁😁
 
Yapo mashoga utayasikia yakisema kwa kubana pua "ccm hakuna ilichofanya, ushoga mbaya Sana hasa ukikuingia akilini unatia upofu"
 
Ni baada ya miaka 62 toka tupate Uhuru. Ndio tunategemea kuungamisha Mikoa kwa barabara za lami.

Kuunganisha Wilaya kwa barabara za lami nadhani itachukua miaka 100 iwapo Chama kilichotuongoza tokea kupata Uhuru kitaendelea kuwepo madarakani!
 
Chawa ungejua kati ya Marais ambao hawajengi barabara ni Samia usinge andika haya!
Makelele ni mengi kuliko uhalisia!
 
Chawa ungejua kati ya Marais ambao hawajengi barabara ni Samia usinge andika haya!
Makelele ni mengi kuliko uhalisia!
Hawajengi kutoka mdomoni mwako au kutoka site? 😁😁

Mwendazake si reli si Barabara hakuna alichofanikiwa.
 
Zile km 51 Sasa rasmi zimekamilika 🔥🔥👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFcB6jRNfxE/?igsh=YmdsaThjY2ZyZm56
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…