Bado Kuna mtu anapinga nguvu ya harmonize kwa Sasa kwenye tasnia ya muziki Tanzania?

Bado Kuna mtu anapinga nguvu ya harmonize kwa Sasa kwenye tasnia ya muziki Tanzania?

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
Habari za jioni wanajamii. Bila Shaka safari ya Harmonize kwenye muziki nje ya WCB imepamba Moto. Hype iliyoonekana kwenye wimbo wake wa attitude bila Shaka imeonyesha nguvu yake kwa hapa bongo. Hype za namna hii kiukweli alikuwa anaweza kuzitengeneza diamond tu. Kwa Sasa Harmonize amefuzu na kwakweli wasiompenda wajipange. Safari ndo imeanza. Kumbuka project ya ALBUM ya highschool inatoka May. Tukubali tukatae diamond alionyesha njia Sasa Harmonize ndo yule tuliemsubiri kwa miaka mingi kupokea kijiti. Diamond hype imeisha . Hashtuiiii.... Habari zake hata insta hazishtuiiiii. Kwakweli wasiompenda Harmonize kazi wanayoooooo. He is currently the king of bongofleva.
 
Habari za jioni wanajamii. Bila Shaka safari ya Harmonize kwenye muziki nje ya WCB imepamba Moto. Hype iliyoonekana kwenye wimbo wake wa attitude bila Shaka imeonyesha nguvu yake kwa hapa bongo. Hype za namna hii kiukweli alikuwa anaweza kuzitengeneza diamond tu. Kwa Sasa Harmonize amefuzu na kwakweli wasiompenda wajipange. Safari ndo imeanza. Kumbuka project ya ALBUM ya highschool inatoka May. Tukubali tukatae diamond alionyesha njia Sasa Harmonize ndo yule tuliemsubiri kwa miaka mingi kupokea kijiti. Diamond hype imeisha . Hashtuiiii.... Habari zake hata insta hazishtuiiiii. Kwakweli wasiompenda Harmonize kazi wanayoooooo. He is currently the king of bongofleva.
Mnahangaika sana kumlingaja jamaa yenu Mmakonde na Mondi,ila number zina mkataa.

Haya ile show yake O2 Arena vipi tupostie picha zake.
Screenshot_20210424-195109.png
 
Back
Top Bottom