Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Vanboy mtu mbadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua buzzy kidogo, but now nipo ouk.Ulipotelea wapi boss
Usitukumbushe majonzi bas, tunaanza kupoa now.Alikuwa chato [emoji39]
Karibu tena my wangu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua buzzy kidogo, but now nipo ouk.
ShikamooSa rayvanny analaumiwa kwa kipi? Hakuna cha ajabu alichokifanya kosa lake labda kupost hiyo video.... tofauti na hapo kawaida tu, akule tu.
Marahaba mdogo wangu
Majani kachapiwa kuku na mayai yake[emoji1787][emoji1787]Namuonea huruma majani
Kwani huko Scandinavia hawatamlaKajala kakosea sana kumexposure mtoto wake kwenye ulimwengu wa usuper staa yuko kwenye Heat age na watatafuna sana issue ni kwa sababu yupo kwenye spot light kila mtu atajua mpaka afike 30s kilometers zitakuwa za kuzunguka bala la africa nzima. Ushauri amtoe haraka sana Tanzania ampeleke nchi za wenzetu especially scanavia countries itawezekana akapata mtu wa kutulia naye uko kuliko izi fedhea za kila siku head line.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Harmo ilikuwa inaniuma Sana vanny kumla Paula[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]Inasemekana harmony Kala kuku na mayai yake [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kajala nae kakosea kete, asa harmonize nae bwana?. Anyway ndo washanyanduana.
TanteeeeeeeeeeehKaribu tena my wangu..
Sasa mwenizo kala mzigo unasema ana gundu?Konde boy ana gundu Sana huyu mwamba 🤣😀
Kula mzigo Kwa Kajala hata wewe unapiga Tu pale , alitaka Kula mtoto Paula mambo yakaharibika kwan hatujui , ndo anajitapa kumla Paula kumbe holaa mtoto kavujisha Siri Kwa mama , kalipia mishopping kibao .... Alaf kisa cha kumuonea gere Rayvanny ni nin sasa ? Kama sio umama huo ,Rayvanny kila sku anampiga kata funua Paula .....Sasa mwenizo kala mzigo unasema ana gundu?
Sijui alikukoseaga nini Huyo konde
Haya umeshinda ...Kula mzigo Kwa Kajala hata wewe unapiga Tu pale , alitaka Kula mtoto Paula mambo yakaharibika kwan hatujui , ndo anajitapa kumla Paula kumbe holaa mtoto kavujisha Siri Kwa mama , kalipia mishopping kibao .... Alaf kisa cha kumuonea gere Rayvanny ni nin sasa ? Kama sio umama huo ,Rayvanny kila sku anampiga kata funua Paula .....