Bado kuna watu wanamlaumu Vanny boy Kwa Paula? Penzi la Kajala na Konde boy lipo Hoi

Bado kuna watu wanamlaumu Vanny boy Kwa Paula? Penzi la Kajala na Konde boy lipo Hoi

Kajala kakosea sana kumexposure mtoto wake kwenye ulimwengu wa usuper staa yuko kwenye Heat age na watatafuna sana issue ni kwa sababu yupo kwenye spot light kila mtu atajua mpaka afike 30s kilometers zitakuwa za kuzunguka bala la africa nzima. Ushauri amtoe haraka sana Tanzania ampeleke nchi za wenzetu especially scanavia countries itawezekana akapata mtu wa kutulia naye uko kuliko izi fedhea za kila siku head line.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kwani huko Scandinavia hawatamla

Huko wazungu watafukua Hadi tope na ngada watanfundisha kuvuta
 
Ninachoona hapa propaganda za kimalaya Malaya tuu
Hako ka Paula kamejaa umalaya
 
Konde boy ana gundu Sana huyu mwamba 🤣😀
 
Sasa mwenizo kala mzigo unasema ana gundu?

Sijui alikukoseaga nini Huyo konde
Kula mzigo Kwa Kajala hata wewe unapiga Tu pale , alitaka Kula mtoto Paula mambo yakaharibika kwan hatujui , ndo anajitapa kumla Paula kumbe holaa mtoto kavujisha Siri Kwa mama , kalipia mishopping kibao .... Alaf kisa cha kumuonea gere Rayvanny ni nin sasa ? Kama sio umama huo ,Rayvanny kila sku anampiga kata funua Paula .....
 
Kula mzigo Kwa Kajala hata wewe unapiga Tu pale , alitaka Kula mtoto Paula mambo yakaharibika kwan hatujui , ndo anajitapa kumla Paula kumbe holaa mtoto kavujisha Siri Kwa mama , kalipia mishopping kibao .... Alaf kisa cha kumuonea gere Rayvanny ni nin sasa ? Kama sio umama huo ,Rayvanny kila sku anampiga kata funua Paula .....
Haya umeshinda ...
 
Back
Top Bottom