Zero Competition JF-Expert Member Joined Sep 12, 2018 Posts 347 Reaction score 553 Feb 1, 2022 #1 Kwa hali ya maisha jinsi tunavyoiona ambapo kila kitu kwasasa bei juu je bado unaamini kwamba elimu ni bora kuliko pesa au ushabadiri mawazo yako ?
Kwa hali ya maisha jinsi tunavyoiona ambapo kila kitu kwasasa bei juu je bado unaamini kwamba elimu ni bora kuliko pesa au ushabadiri mawazo yako ?
Tz mbongo JF-Expert Member Joined Mar 12, 2015 Posts 13,332 Reaction score 7,351 Feb 1, 2022 #2 Elimu ni bora kuliko pesa ila pesa ni muhimu kuliko elimu.
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Feb 1, 2022 #3 Ha ha ha.... Huu mjadala ulkuaga mkali sana enzi nasoma
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Feb 1, 2022 #4 Binafs, Elimu ya akhera, haijanipa hata mia mbovu. Elimu ya Darasani imenisaidia kupata pesa, Ila Elimu ya mtaani imenisaidia kupata pesa Zaid. Ila Sasa hapo mtoa mada sijua unaizungumzia Elimu ipi labda? Be specific.
Binafs, Elimu ya akhera, haijanipa hata mia mbovu. Elimu ya Darasani imenisaidia kupata pesa, Ila Elimu ya mtaani imenisaidia kupata pesa Zaid. Ila Sasa hapo mtoa mada sijua unaizungumzia Elimu ipi labda? Be specific.
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 8,257 Reaction score 11,499 Feb 2, 2022 #5 DeepPond said: Binafs, Elimu ya akhera, haijanipa hata mia mbovu. Elimu ya Darasani imenisaidia kupata pesa, Ila Elimu ya mtaani imenisaidia kupata pesa Zaid. Ila Sasa hapo mtoa mada sijua unaizungumzia Elimu ipi labda? Be specific. Click to expand... Usilaumu akhera wkt bado hujafika, ngoja ufike utajua elimu yake itakulupa ama la.
DeepPond said: Binafs, Elimu ya akhera, haijanipa hata mia mbovu. Elimu ya Darasani imenisaidia kupata pesa, Ila Elimu ya mtaani imenisaidia kupata pesa Zaid. Ila Sasa hapo mtoa mada sijua unaizungumzia Elimu ipi labda? Be specific. Click to expand... Usilaumu akhera wkt bado hujafika, ngoja ufike utajua elimu yake itakulupa ama la.
DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Feb 2, 2022 #6 Myangu said: Usilaumu akhera wkt bado hujafika, ngoja ufike utajua elimu yake itakulupa ama la. Click to expand... Mtoa mada kazungumzia kwa muktadha wa hapa duniani. Iyo Elimu kwa Sasa wanaofaidika nayo Ni hao kina gwajima, mwamposa, kakobe na wengineo[emoji4] Sent using Jamii Forums mobile app
Myangu said: Usilaumu akhera wkt bado hujafika, ngoja ufike utajua elimu yake itakulupa ama la. Click to expand... Mtoa mada kazungumzia kwa muktadha wa hapa duniani. Iyo Elimu kwa Sasa wanaofaidika nayo Ni hao kina gwajima, mwamposa, kakobe na wengineo[emoji4] Sent using Jamii Forums mobile app