Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini.
Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi...
1. Said Salim Bakhressa
2. Said Salim Bakhressa
3. Said Salim Bakhressa
4. Said Salim Bakhressa
5. Kanjibahi wa Singida Mzee wa Mbumbumbu FC , Mzee wa Bilion 21
Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi...
1. Said Salim Bakhressa
2. Said Salim Bakhressa
3. Said Salim Bakhressa
4. Said Salim Bakhressa
5. Kanjibahi wa Singida Mzee wa Mbumbumbu FC , Mzee wa Bilion 21