Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo CAS tayari.kateni rufaa sasa
Sasa huu ni "uSADALA"Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini.
Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi...
1. Said Salim Bakhressa
2. Said Salim Bakhressa
3. Said Salim Bakhressa
4. Said Salim Bakhressa
5. Kanjibahi wa Singida Mzee wa Mbumbumbu FC , Mzee wa Bilion 21
YapWengi wanachanganya madawa. Mo ni tajiri kijana.
Sio tajiri kuliko wote Tanzania.
Heri ulete thread ya utajiri wa MO vs Bakhresa ,tuangalie facts and details,maana unamchukulia Mo poaUtajiri wa MO ni level za kina kusaga ,hana utajiri wa kuweza kumfikia SSB , SSB ni level nyingine! Fumba Uptown Living......Mo ni tapeli tu ,kadhulumu mashamba ya katani ya serikali ,pia kanunua simba kwa 20b hewa(mali kauli).
Kama ambavyo huelewi ni vipi mmiliki wa amazon anamzidi utajiri billy gates[emoji23][emoji23][emoji23]Kiukweli ile list sielewagi,
Basi tu, hamna namna ya kuipinga ila siiamini kbs
Wewe ndo unachanganya madesa matajiri bongo wenye ukwasi unaofikia usd 1 billion ni wawili tu mo na rostam tu hao wengine wana range kwenye usd 650 millions...Wengi wanachanganya madawa. Mo ni tajiri kijana.
Sio tajiri kuliko wote Tanzania.
Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini.
Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi...
1. Said Salim Bakhressa
2. Said Salim Bakhressa
3. Said Salim Bakhressa
4. Said Salim Bakhressa
5. Kanjibahi wa Singida Mzee wa Mbumbumbu FC , Mzee wa Bilion 21
Heri ulete thread ya utajiri wa MO vs Bakhresa ,tuangalie facts and details,maana unamchukulia Mo poa
Jee unavijua vigezo vilivyotumika kum rate Mo kuwa ndiye tajiri namba moja Tanzania?Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini.
Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi...
1. Said Salim Bakhressa
2. Said Salim Bakhressa
3. Said Salim Bakhressa
4. Said Salim Bakhressa
5. Kanjibahi wa Singida Mzee wa Mbumbumbu FC , Mzee wa Bilion 21
Swadaktaaa. Tatizo hawa nyani wa pori la Utopolo hawajui kitu zaidi ya kumuamini Mzee MpiliNi tajiri kijana Africa, lakini ni tajiri no 1 Tanzania, Source FORBES