ππππKwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini...
Kwahiyo umeona utajiri wa bakhresa baada ya kuwapa hela,mkuu ulivyosifia inaonekana upo tayari hata kutoa jicho
Ahaa,duh!!.Kwahiyo umeona utajiri wa bakhresa baada ya kuwapa hela.
[emoji23][emoji23] yanga hawana tofauti na mwanamke malaya, ukimpa pesa tu. Utapewa sifa hata ambazo hustahili ..Kwahiyo umeona utajiri wa bakhresa baada ya kuwapa hela,mkuu ulivyosifia inaonekana upo tayari hata kutoa jicho
Wengi wanachanganya madawa. Mo ni tajiri kijana.Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini...
Unahasira sana ewe kitombile fc! Yaan kwa backresa huoni! Husikii! Huambiliki! Dah tumekubali binti yetu olewa tu nahuyo kijana chaguo la moyo wako!Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchin...
Usimuamini sana mwanamkw mwenye njaa π π π[emoji23][emoji23] yanga hawana tofauti na mwanamke malaya, ukimpa pesa tu. Utapewa sifa hata ambazo hustahili ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Ni tajiri kijana Africa nzima na pia ndio tajiri namba moja sio Tanzania bali Africa mashariki .. akishika pia mamba 13 katika orodha ya matajiri Africa ..Wengi wanachanganya madawa. Mo ni tajiri kijana.
Sio tajiri kuliko wote Tanzania.
Ni tajiri kijana Africa, lakini ni tajiri no 1 Tanzania, Source FORBESWengi wanachanganya madawa. Mo ni tajiri kijana.
Sio tajiri kuliko wote Tanzania.
Ni tajiri kijana Africa nzima na pia ndio tajiri namba moja sio Tanzania bali Africa mashariki .. akishika pia mamba 13 katika orodha ya matajiri Africa ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
kateni rufaa sasaWengi wanachanganya madawa. Mo ni tajiri kijana.
Sio tajiri kuliko wote Tanzania.
Kwa Mambo makubwa makubwa anayoyafanya Mzee Bakhressa kwenye soka letu naamini ni kichekesho cha Mwaka kuamini Mo Dewji ndie tajiri namba moja nchini.
Kimsingi orodha ya Matajiri nchini inapaswa kuwa hivi...
1. Said Salim Bakhressa
2. Said Salim Bakhressa
3. Said Salim Bakhressa
4. Said Salim Bakhressa
5. Kanjibahi wa Singida Mzee wa Mbumbumbu FC , Mzee wa Bilion 21