Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

Billioni 700 ni makusanyo ya kodi kwa mwezi moja tu, Tanzania ni tajiri nchi hii inaweza kutumia kadiri inavyoweza kutokana na jinsi inavyopata mapato yake. So long as that bridge benefits the people of the united Republic of Tanzania, I wouldn't care less. Pesa za mboga tu hizo.
Billioni 700 unaweza kujenga vivuko 20 vya billion 5 kila kimoja.

Pia unaweza kujenga vyuo vya Veta 10 kwa bilioni 10 kila kimoja.

Baada ya hapo unabakiwa na billion 500 za kusambaza maendeleo ktk ukanda mzima wa ziwa.

Waswahili walijisemea, kupanga ni kuchagua.
 
Billioni 700 unaweza kujenga vivuko 20 vya billion 5 kila kimoja.

Pia unaweza kujenga vyuo vya Veta 10 kwa bilioni 10 kila kimoja...
Absolutely, kupanga ni kuchagua, hata raia wa Kigongo na Busisi wanahitaji maendeleo pamoja na daraja. Kigamboni hawana daraja? Daraja la Tanzanite Dar Es Salaam, Fly over Ubungo, pamoja na Pugu Road vipi?

Daraja la mto Ruvuma unalifahamu mpakani na Mozambique? (BTW unaweza kuweka miradi yote mikubwa inayofanywa/iliyofanywa na Serikali toka tupate uhuru).

Maendeleo hayana chama wacheni wivu! Tanzania ya sasa haiangalii gharama inaangalia kuboresha miundo mbinu kwa raia wake popote pale walipo.
 
Mimi ni muungaji mkono wa mheshimiwa katika yote anayoyafanya ila hili daraja la busisi nimeishiwa na nguvu kabisa

Daraja linajengwa kwa bilioni 700[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]

Hiyo ni pesa ndefu sana sijui nisemeje trilioni kasoro

Hiyo ni bajeti ya wizara kabisa!

Ni pesa nyingi sana hiyo hata wafadhili kukupa hiyo kwa wakat mmoja sio rahisi

Ni pesa ambayo ingetatua matatizo makubwa sana ya maji nchini

Zingeweza kufanya jambo kubwa sana ndugu zangu


Halafu naskia haikuidhinishwa na bunge halafu naskia hiyo kampuni ya huyo.....Niishie hapo

Tsh 700,000,000,000/= nyingi sana nimechoka akili......nile nilale tu
 
Absolutely, kupanga ni kuchagua, hata raia wa Kigongo na Busisi wanahitaji maendeleo pamoja na daraja. Kigamboni hawana daraja? Daraja la Tanzanite Dar Es Salaam, Fly over Ubungo, pamoja na Pugu Road vipi? Daraja la mto Ruvuma unalifahamu mpakani na Mozambique? (BTW unaweza kuweka miradi yote mikubwa inayofanywa/iliyofanywa na Serikali toka tupate uhuru). Maendeleo hayana chama wacheni wivu! Tanzania ya sasa haiangalii gharama inaangalia kuboresha miundo mbinu kwa raia wake popote pale walipo.

..tatizo ni kwamba maamuzi yooote yanafanywa na mtu mmoja.

..kuwekeza billion 700 ktk daraja moja tu huku wananchi wana changamoto za kila aina siyo busara.

..tungepanga na kuchagua tungeweza kujenga vivuko 20, kila kivuko bilioni 5.

..tungeweza kujenga vyuo vya veta 10 kwa gharama ya billion 10 kila chuo.

..baada ya hapo tungebakiwa na billioni 500 za kujenga hospitali, masoko, na miradi ya maji.

..Na fedha zote hizo ungezitumia ktk kanda ya ziwa, siyo eneo lingine lolote.
 
Mimi ni muungaji mkono wa mheshimiwa katika yote anayoyafanya ila hili daraja la busisi nimeishiwa na nguvu kabisa

Daraja linajengwa kwa bilioni 700[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]

Hiyo ni pesa ndefu sana sijui nisemeje trilioni kasoro...
WEWE UMEISHIWA NGUVU, KWA KUSAMANISHA BILION 700 NA UHAI WA BINADAMU? BASI UTAPATA NGUVU SIKU UKISIKIA MAMIA KWA MAELFU YA WATANZANIA WAISHIO MWANZA NA GEITA NA BUKOBA, UTAKAPOSIKIA AU KUONA WAMEZAMA NA KUTEKETEA NA VIVUKO VYA BUSISI, KAMANGA NA KIGONGO.

WAPINZANI WA MWAKA HUU NI KERO KWA TAIFA LETU.
 
Duuuh huyu MEKO ni mwizi hadi shetani anakaa pembeni kujifunza upya khaaah.
 
Nani anajenga hilo daraja? Tuanzie hapo kwanza alafu baadae tujiulize, nani anafanya malipo?
 
WEWE UMEISHIWA NGUVU, KWA KUSAMANISHA BILION 700 NA UHAI WA BINADAMU? BASI UTAPATA NGUVU SIKU UKISIKIA MAMIA KWA MAELFU YA WATANZANIA WAISHIO MWANZA NA GEITA NA BUKOBA, UTAKAPOSIKIA AU KUONA WAMEZAMA NA KUTEKETEA NA VIVUKO VYA BUSISI, KAMANGA NA KIGONGO.

WAPINZANI WA MWAKA HUU NI KERO KWA TAIFA LETU.

..billioni 700.

..unaweza kutumia billion 100 kujenga vivuko 20, kila kimoja bilion 5.

..unaweza kutumia billion 100 kujenga veta 10, kila moja billion 10.

..halafu ukabakiwa na billion 500 za kutatua changamoto nyingine kama maji, masoko,etc.
 
Mimi ni muungaji mkono wa mheshimiwa katika yote anayoyafanya ila hili daraja la busisi nimeishiwa na nguvu kabisa

Daraja linajengwa kwa bilioni 700[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]....
Daraja la kigamboni limejengwa kwa bilion 315 na lita urefu wa mita 680.. busisi bridge ni kilomita tatu na mita mia mbili kwa hesabu ndogo lipi hapo linagharama kubwa.

Daraja linajengwa na kampuni ya wachina hapo unataka kusema ni kampuni ya magu. Daraja hilo ni kiungo na nchi jirani pia kama Burundi, Rwanda na Uganda so ni kichocheo cha biashara.

Linasave muda pia its only 4 minutes lakini kutumia kivuko inatake muda mwingi. Asee hao watu walikuwa wanapata shida sana kuvuka hilo eneo na 2018 serikali iliweka kivuko kipya mv mwanza kusaidia watu thats mean before that palikuwa na changamoto kubwa sana.
Kwa akili zenu za kushikiwa sidhani kama u can see the true value ya hilo daraja ila ni ushabiki usio na maana
 
..tatizo ni kwamba maamuzi yooote yanafanywa na mtu mmoja.

..kuwekeza billion 700 ktk daraja moja tu huku wananchi wana changamoto za kila aina siyo busara...
Wenye changamoto ni wengine tu? Sio walio Busisi au Kigongo? Labda ni mvivu wa kusoma nimekuwekea miradi ya madaraja hapo awali nk Wacha wivu!

Nimekwambia hizo ni pesa za mboga tu! BTW wewe sio uliyepewa dhamana ya kuwapangia Watanzania kwa hiyo kaa kimya. Wenye dhamana ndio hao kina JPM ambao wapo kwenye kampeni. Njoo siku ya kuapishwa kwa miaka mingine mitano.
 
..billioni 700.

..unaweza kutumia billion 100 kujenga vivuko 20 kila kimoja bilion 5.

..unaweza kutumia billion 100 kujenga veta 10, kila moja billion 10.

..halafu ukabakiwa na billion 500 za kutatua changamoto nyingine kama maji, masoko,etc.
Wacha wapige tu, maana msema kweli ni mpenzi wa Mungu!
 
Daraja la kigamboni limejengwa kwa bilion 315 na lita urefu wa mita 680.. busisi bridge ni kilomita tatu na mita mia mbili kwa hesabu ndogo lipi hapo linagharama kubwa.
Hata wewe ulicho kiandika ni ushabiki maandazi tu, tuwekee ushahidi wa hizo km tupime sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom