Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

Kwa sisis wafanya biashara hii itatusaidia sanaaa,,, tutaokoa Sana mda na kupunguza gharama
 
Hiyo milioni 10 kwa siku muitoe wapi? Emb acha upuuzi bwana!
 
CCM ni kama malaya ambaye tayari ameshavua nguo,kilichobaki tu ni sisi wananchi Tarehe 28 oktoba tuwachomeke Dudu wakaendelee na biashara zao za Mayanga construction.
 
Hiyo milioni 10 kwa siku muitoe wapi? Emb acha upuuzi bwana!
"The 180-tonne capacity bridge will allow 1600 vehicles to pass at a time. According to Chief Executive Officer of the Tanzania National Roads Agency (TANROADS), Engineer Patrick Mfugale, the bridge will be connected to a 34-kilometre road, with 28.4 metres wide from Mwanza. This will result to Mwanza city being a commercial hub in the Lake zone."

Daraja hili ni 2 ways traffick kuingiza wastani wa shilingi elfu sita na nusu kwa saa wala si tatizo.
Likishakamilika itakuwa short cut ya kuunganisha Kenya kupitia Mwanza kwenda/kwenda Burundi,Rwanda,Uganda,na DRC mashariki.
Pia ni short cut ya kusunguka kanda ya ziwa kwa kutokea/kwenda Mara kupitia Mwanza kwenda mikoa ilio magharibi ya ziwa.
 
Unasumbuliwa na wivu na choyo. Na usipobadilika vitu hivyo viwili vitakupa shida sana.
 
yani wote mliotowa mawazo humu, endapo serikali ya magufuli ingefanyia mawazo hayo mlioyatowa bado yangekuja mawazo mengne tena, istoshe mngezema ajenge daraja kuliko kutoa mikopo prngne isirete faida na hizo ferry pengne zinahitaji ukalabat kila baada ya mda, tumien akili daraja ni miaka ming sana tutakusanya pesa pale kuliko hiyo mikopo kukopesha watu na kununua ferry za kisasa ambazo zinatakiwa malekebisho ya kila baada ya mda.
 
Hivi ni kwa nn jamaa anapenda kuwaalika madikteta tu tena kipindi hiki cha uchaguzi?🤔🤔
Zaidi ya hilo nasikia museven asili yake ni mhutu..... 😒😒

Tuendelee kujiuliza pamoja👍👍
 
Hivi ni kwa nn jamaa anapenda kuwaalika madikteta tu tena kipindi hiki cha uchaguzi?[emoji848][emoji848]
Zaidi ya hilo nasikia museven asili yake ni mhutu..... [emoji19][emoji19]

Tuendelee kujiuliza pamoja[emoji106][emoji106]
Kumbe huyo Rais mpya wa Burundi ni dikiteta?
 
Rudi shuleni kwa mwalimu wako wa hesabu,akakufunze upya
 
Nimejiuliza kwa nini akili yako kama binadamu ulifikia hatua ya kulinganisha ubora wa daraja na vivuko. Hebu muulize mtu aliyeshuhudia vifo vya watu kwenye kivuko cha Kigamboni miaka ya 80, wakati tukiwa na waziri bwege kabisa wa ujenzi, Mustafa Nyang'anyi. Linganisha maisha ya watu wakati wa MV Bukoba wakati mwingine pia tulipoonesha ubwege na udhaifu kwenye miundombinu ya majini.
 
Daraja hili ni matumizi mabaya ya fedha za umma au ni jambo la upendeleo. Umbali unaopunguzwa kwa wanufaika ni mdogo sana kulinganisha na sehemu kama Kigoma kutoka Nyakanazi!!

Uwanja wa Chato nao ni matumizi mabaya ya pesa za umma. Uwanja huo ungejengwa Dodoma au kuimarisha usafiri wa umma wa abiria wa Dodoma.
 
Uwanja wa Ndege wa Chato hauna tija ni kweli JPM alikosea ni miss allocation of public funds kwa sababu hata matumizi au return yake kwenye uchumi haionekani na haitaonekana leo. Daraja kwa mtu aliyewahi pita njia hiyo ataelewa umuhimu wa Daraja. Faida zake kiuchumi si kwa ajili ya Mwanza na Geita.
 
Katika alternatives there should be the best alternative. Nikufahamishe tu kuwa njia rahisi kwa Katavi na Kigoma kwenda Mwanza ni kupitia Tabora-Igunga-Tinde- Shy-Mwanza. Hiyo ya kupitia darajani ni usumbufu.

Vv
 

Mkuu sidhani kama there is any need ya hizo pesa kuludishwa kwa serikali, kwa sababu ni pesa zetu Wananchi za kodi tunazolipa ili serikali iweze Kutufanyia maendeleo


huko majuu na nchi kama Hong Kong has a long history as a tax-free city,kwa hivyo madaraja yote wananchi wanalipia ili serikali iweze kuludisha pesa zake , lakini kwa huku kwetu Tanzania tunastaili kupata maendeleo bila ya serikali kuangalia faida kwa Sababu tunalipishwa kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…